Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,251
- 34,198
Haijalishi kuwepo au kuto kuwepo kwa mawasiliano mazuri, swali la msingi ni JE, NI JUKUMU LA MHANDISI KUITA WATU WAJE KWENYE UZINDUZI WA BARABARA? Je hili sio jukumu la DC, DAS, wenyeviti wa vijiji, watendaji kata et al?Duh, kazi hizi ngumu sana, ingefaa huyu mtendaji wa TARURA afanye mawasiliano ya kutosha nini na nini atahitaji waziri kabla ya kufika site. Nadhani hakukuwa na mawasiliano mazuri kabla