Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,099
- 34,045
Habarini Wadau.
Waziri wa TAMISEMI amemwagiza Mkurugenzi wa Dodoma, Godwin Kunambi kumuongezea mshahara Mwanamke mmoja dereva wa Gari la Taka kutokana na Uzuri na Urembo wake huku akimsifia urembo wake.
Ninachojiuliza ni kuwa, hivi hawa huwa si wanalipwa kulingana na scale za serikali?
Na je utaratibu wa kumpandisha Mtumishi mshahara upo kienyeji hivyo?
Mshahara si ni siri ya Mtumishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa TAMISEMI amemwagiza Mkurugenzi wa Dodoma, Godwin Kunambi kumuongezea mshahara Mwanamke mmoja dereva wa Gari la Taka kutokana na Uzuri na Urembo wake huku akimsifia urembo wake.
Ninachojiuliza ni kuwa, hivi hawa huwa si wanalipwa kulingana na scale za serikali?
Na je utaratibu wa kumpandisha Mtumishi mshahara upo kienyeji hivyo?
Mshahara si ni siri ya Mtumishi?
Sent using Jamii Forums mobile app