johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema zaidi ya wananchi milioni 11 wameshajiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Lengo ni kuandikisha wapiga kura milioni 26.9 hivyo zoezi linakwenda vizuri.
Jaffo amesema zoezi lililega lega kidogo kwa sababu ya mvua za vuli zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ndio maana ameongeza muda wa siku tatu ili kutoa fursa kwa wale waliokwama waweze kujiandikisha.
Chanzo: ITV habari!
Jaffo amesema zoezi lililega lega kidogo kwa sababu ya mvua za vuli zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ndio maana ameongeza muda wa siku tatu ili kutoa fursa kwa wale waliokwama waweze kujiandikisha.
Chanzo: ITV habari!