REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Kikubwa ni ajira, bidhaa /Huduma, na kipato vipatikane mbona bodaboda anajenga nyumba na kuhudumia familia yake vizuri?Kama mnaongelea kujenga karakana 100 kila mkoa sawa....
Kikubwa ni ajira, bidhaa /Huduma, na kipato vipatikane mbona bodaboda anajenga nyumba na kuhudumia familia yake vizuri?Kama mnaongelea kujenga karakana 100 kila mkoa sawa....
HahahahahNdo alikuwa anapambana na Kigwendu kule Kisarawe? Siwezi kushangaa
Kuanzia cherehani 3 ni kiwanda hicho. So viwanda 100 ni cherehani 300.Viwanda vya kati ni vipi et aiseeee
Kwa hiyo hata kuendesha bodaboda ni kiwanda...aisee....au kuna tafsiri mbalimbali za neno kiwanda???Bac sawa lkn manake hata Mwijage alisema vyerehani vinne ni kiwanda....Kikubwa ni ajira, bidhaa /Huduma, na kipato vipatikane mbona bodaboda anajenga nyumba na kuhudumia familia yake vizuri?
Viwanda 100 kwa mkoa ni vidogo sana.Duh mbona lengo kubwa sana? Mimi nadhani walao wangesema kila Mkoa kuwa na viwanda 15 hadi 25 tena viwe productive na bidhaa zinazozalishwa ktk kila Mkoa serikali isaidie kuwatafutia masoko. Halafu bidhaa hizo kufanyiwa promotion ndani na nje ya nchi ili viweze kujimudu kwa muda mrefu. Halafu mwaka unaokuja lengo jipya tena viwanda 15 hadi 25 tena. Huku tunavifanyia tathimini hivi vya mwaka uliopita halafu tunajenga vipya. Mdogo mdogo tunafika tu.
Tusikimbilie kwenye ukubwa au wingi wa data.
Sijasema bodaboda ni kiwanda bali ni sehemu ya vyanzo vya ajira kama viwanda, sababu lengo la kujenga viwanda ni kutengeneza ajira na kipato kwa wananchi.Kwa hiyo hata kuendesha bodaboda ni kiwanda...aisee....au kuna tafsiri mbalimbali za neno kiwanda???Bac sawa lkn manake hata Mwijage alisema vyerehani vinne ni kiwanda....
Kwa hali hii....inapaswa serikali itoe semina inaposema kiwanda inamaanisha nn..aiseee
Fyatueni nitasomesha.Viwanda vya kati ni vipi et aiseeee
Nimekuelewa hoja yako sasa inamaanisha kuna baadhi ya Wakuu wa Mikoa hawatoi kipaumbele cha kutosha kwenye ujenzi wa viwanda. Sasa hawa wanaihujumu serikali ni lazima watoke. Lakini je kuwatoa ndio solution? Maana ujenzi wa viwanda unahusisha ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi.Viwanda 100 kwa mkoa ni vidogo sana.
Kwa mfano singida kuna alizeti mpaka inaoza,viwanda havizidi kumi
Huu ni wakati wa kufanya kazi serikalini kwa kutumia KPI's,key performance indicators!kama huku perform unakwenda na maji.
Mbona Makonda anahangaika na kazi inaonekana?
Hivi viwanda hivyo ni vya serikali au watu binafsi? Kama anategemea watu binafsi wavijenge atasubiri sana kuroka na sera ya mwenyekiti kutaka matajiri wachache waliokuwepo waishi maisha ya kishetani jambo ambalo limefanikiwa sana.ni miaka miwili sasa kila mkoa ulipaswa uwe na mpango wa kueleweka wa kujenga viwanda