MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Niwaulize tu jamani, hivi si ndio waziri huyu huyu alitamka kua waliomaliza darasa la saba tu wataanza kudahiliwa chuo kikuu?
Mbona sasa amegeuka anataka form 6 tu? Alisema kwa ulimi wake kua watu wa aina hiyo watakua na utaratibu maalum utakaowawezesha kwenda chuo kikuu lakini amesahau maneno yake? Hii ni shida.
Ifike mahali tuwe na hofu ya Mungu, tusijifanye kuwa miungu watu.
Mbona sasa amegeuka anataka form 6 tu? Alisema kwa ulimi wake kua watu wa aina hiyo watakua na utaratibu maalum utakaowawezesha kwenda chuo kikuu lakini amesahau maneno yake? Hii ni shida.
Ifike mahali tuwe na hofu ya Mungu, tusijifanye kuwa miungu watu.