Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Uko serious?Unataka bank iwe na akiba ya kutosha ilihari wewe binafs hujachangia
Acha iuzwe
Selikal iwe inanunua damu tuiuzie wanunue watuuzie mi nikiuza 20 nyie uzeni 25 au 30 basi
Bank itakuwa na uhakika