Amesikika waziri Gwajima akisema wanaandaa takwimu za hali ya ugonjwa wa Corona nchini.
Watu wanapoendelea kufa huku takwimu zikiendelea kuandaliwa bila mwisho, ina maana gani?
Inachukua muda gani kujua idadi ya wagonjwa waliolazwa mkoa kwa mkoa, vifo au waliopona?
Hapa tuna mwenzetu mwingine kwenye yale majina makubwa, katutangulia:
Padre Haule wa St Peters afariki dunia
Yaonesha mwendo ni ule ule mmoja mmoja kivyake vyake hadi yatakapotukuta huku tukilipa kodi na tozo zilizo boreshwa.
Mko kama vile mnachohitaji kwetu ni pesa tu pasipo na kuwajibika.
Watu wanapoendelea kufa huku takwimu zikiendelea kuandaliwa bila mwisho, ina maana gani?
Inachukua muda gani kujua idadi ya wagonjwa waliolazwa mkoa kwa mkoa, vifo au waliopona?
Hapa tuna mwenzetu mwingine kwenye yale majina makubwa, katutangulia:
Padre Haule wa St Peters afariki dunia
Yaonesha mwendo ni ule ule mmoja mmoja kivyake vyake hadi yatakapotukuta huku tukilipa kodi na tozo zilizo boreshwa.
Mko kama vile mnachohitaji kwetu ni pesa tu pasipo na kuwajibika.