Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,414
- 85,840
Ndio nasikia Leo, hii umeitoa wapi? Au umeongea tu?Hao DC na rc ni wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wa sehemu zao. Waziri huyo Hana mamlaka ya kuamrisha jeshi isipokua waziri husika.
Ndio nasikia Leo, hii umeitoa wapi? Au umeongea tu?Hao DC na rc ni wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wa sehemu zao. Waziri huyo Hana mamlaka ya kuamrisha jeshi isipokua waziri husika.
DC na RC ni wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama!Mkuu, samahani ukipata muda wako unisaidie kidogo kwanini iwe kwa hawa wakuu wa wilaya na mikoa na isiwe kwa waziri? Natamani kuelewa zaidi.
Hao ni wenyeviti wa kamati za usalama kwenye maeneo yao ya utawala; DC kwenye mambo ya usalama OCD ana report kwake na RPC kuhusu mambo ya usalama wa mkoa anaripoti kwa RC but waziri?????Mkuu, samahani ukipata muda wako unisaidie kidogo kwanini iwe kwa hawa wakuu wa wilaya na mikoa na isiwe kwa waziri? Natamani kuelewa zaidi.
Tuambie ni sheria ipi inampa ruhusa ya kuliamrisha jeshi la polisiWaziri ni mtu mkubwa sana sema Magufuli aliwafanya wadharaulike kwa kutaka kila kiki iwe yake.
Wakati tunakua Mawaziri kama Mungai, Makweta, Ngasongwa, Njelu Kasaka, Pius Ng'wandu, Steven Wasira n.k walikuwa wakiongea nchi na magazeti yote ni front page na watu wanatii. Tena walikuwa hawatumbuliwi ovyo ovyo.
Leo hii Waziri anabishiwa hadi na Makonda au Sabaya.
Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Kilolo/Asia alimchana Majaliwa kuwa hujaniteua wewe, jamaa akawa mpole.
Ukiona kuna jinai inafanyika sehemu hata wewe unaweza kupiga simu na Polisi wakaja na difenda hata tano.Tu
Tuambie ni sheria ipi inampa ruhusa ya kuliamrisha jeshi la polisi
Waziri wa Afya hakupaswa kutoa kauli kama hii, sio kazi yake hata kama walikuwa na mpango wa kumkamata na kumhoji.Kwa wale wajuzi wa itifaki na mambo ya chain of command naomba mnielimishe katika hili.
Mungu ni mwema wakati wote!