johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,850
- 141,770
Kwa wale wajuzi wa itifaki na mambo ya chain of command naomba mnielimishe katika hili.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mungu ni mwema wakati wote!
John nawewe umeanza chokochoko na uchochezi.Kwa wale wajuzi wa itifaki na mambo ya chain of command naomba mnielimishe katika hili.
Mungu ni mwema wakati wote!
Bwashee elimu haina mwisho!John nawewe umeanza chokochoko na uchochezi.
Tuhamie Zambia mkuuNchi ya hovyo hovyo inazaa viongozi wa hovyo hovyo. Hii kauli y Waziri ni ya kijinga sana
Waziri hana mamlaka ya kutoa amri ya kukamata (detain/arrest). Huwa wanalazimisha haswa huko vijijini wakitembelea.Waziri yupo ndani ya executive ambapo kazi ya executive Ku in force law..........so wazir ana power hiyoooo
Nimekuelewa bwashee!Waziri hana mamlaka ya kutoa amri ya kukamata (detain/arrest). Huwa wanalazimisha haswa huko vijijini wakitembelea.
Mkuu wa Wilaya na Mkoa wanayo mamlaka hayo.
Mbona DC anamuarisha IGP? Au mmeshasahau huu mjadala?Yaani waziri aamrishe majeshi?! Duh. Kama chain of command haijui je tunaaminije maalezo yake ambayo nayo yanabadilikabadilika?!
Mkuu, samahani ukipata muda wako unisaidie kidogo kwanini iwe kwa hawa wakuu wa wilaya na mikoa na isiwe kwa waziri? Natamani kuelewa zaidi.Waziri hana mamlaka ya kutoa amri ya kukamata (detain/arrest). Huwa wanalazimisha haswa huko vijijini wakitembelea.
Mkuu wa Wilaya na Mkoa wanayo mamlaka hayo.
Hao DC na rc ni wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wa sehemu zao. Waziri huyo Hana mamlaka ya kuamrisha jeshi isipokua waziri husika.Mbona DC anamuarisha IGP? Au mmeshasahau huu mjadala?