johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,794
- 141,691
Waziri wa Jinsia na watoto Dkt. Gwajima amesema uchunguzi wa shule ya Global international umeonesha wanafunzi takriban wote wa darasa la awali, wanafunzi wengine mpaka wa darasa la tatu aliokuwa anawafundisha walifanyiwa unyanyasaji wa kingono.
Ripoti hiyo imekuja baada ya watoto(wanafunzi) kuhojiwa na kudai kuwa Mwalimu huyo alihusika kuwafanyia vitendo hivyo ambapo alikuwa akiingia darasani anaziba dirisha na kufanya matendo hayo.
Pia Waziri Gwajima ametoa onyo kali kwa Shule hiyo baada ya kudaiwa kuwatisha wazazi kutoa ushirikiano kwa mamlaka kwa madai kuwa shule hiyo ni ya wakubwa Serikalini.
Muhusika ni Mwalimu Gabriel ambaye ameshakamatwa na Kesi iko mahakamani
Chanzo: ITV habari
Pia soma
Ripoti hiyo imekuja baada ya watoto(wanafunzi) kuhojiwa na kudai kuwa Mwalimu huyo alihusika kuwafanyia vitendo hivyo ambapo alikuwa akiingia darasani anaziba dirisha na kufanya matendo hayo.
Pia Waziri Gwajima ametoa onyo kali kwa Shule hiyo baada ya kudaiwa kuwatisha wazazi kutoa ushirikiano kwa mamlaka kwa madai kuwa shule hiyo ni ya wakubwa Serikalini.
Muhusika ni Mwalimu Gabriel ambaye ameshakamatwa na Kesi iko mahakamani
Chanzo: ITV habari
Pia soma