johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,433
Waziri wa afya Dkt. Gwajima amesema mikoa itakayoonyesha kusuasua kwenye uchanjaji wa Corona basi watanyang'anywa hizo chanjo na kupelekewa mikoa iliyochangamka katika uchanjaji.
Chanzo: Star tv habari
Mungu ni mwema wakati wote!
Chanzo: Star tv habari
Mungu ni mwema wakati wote!