Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,265
- 3,177
Lazima atajibu. Jamaa kashapata wafuasi wa kutosha mitandaoni.Hana huo uwezo wa kujibu hiyo jumapili. Chama na serikali vimemuweka Kwenye nyuzi 90. Ajaribu aone
Atapiga kuanzia Mwenyekiti, Lusekelo mzee wa Upako, Shaka na shemeji yako.
Gwajiboy anasema yeye ndio mrithi wa JPM ndani ya CCM.