#COVID19 Waziri Gwajima Kiboko! Ni Mwanamke wa Shoka… Amuita mtu ‘Kibwetere’. Unamjua huyo Kibwetere ni nani na Wakoje naye?

Hana huo uwezo wa kujibu hiyo jumapili. Chama na serikali vimemuweka Kwenye nyuzi 90. Ajaribu aone
Akitukana waliochanja maana yake atakuwa amemtukana Rais, jaji mkuu, waziri mkuu, mkuu wa majeshi, mkuu wa polisi, mkuu wa tiss, mkuu wake wa mkoa na wilaya, mkiti na msemaji wa chama chake, mkuu wa uhamiaji na magereza, viongozi wote wa dini kubwa tz! Ni mtu smart vya kutosha, j2 ataufyata
 
Back
Top Bottom