Wasukuma bana! huyu mama ni kichaa kama yule wa chatoAnafurahisha sana!
Wasukuma bana! huyu mama ni kichaa kama yule wa chatoAnafurahisha sana!
Anachamba kisomi hahaHahaha!.
Huyu mama anafikisha ujumbe huku anachamba.
Anacheza na fursa mkuuHuwezi ukaamini kuwa huyo ndie huyu aliekuwa akihimiza kutumia Mizizi na tiba za ajabuajabu
View attachment 1872040
Mzee wa piga bia...natumikia mapenziHuyu na Chalamila huwa nawapenda sana
Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
Aisee mimi nilichelewa sana kumwelewa. Ila toka mwaka jana yani ni waziri wangu bora na hana makelele kama wengine. Yani kila waziri angekuwa anafanya kazi zake kama huyu tungepiga hatua. Ni one of the best sema watanzania hupenda wale wenye maigizo.Wengine ndo mnagundua leo kuwa waziri D. Gwajima ana ‘kitu’?
Some of us started giving her her flowers long time ago 😉.
Dkt. Gwajima D nakuona…..
I love your work ethic ma’am.
You go above and beyond the call of duty to serve the people.
You get a round of applause 👏 and a standing ovation from me and my kindred spirits.
Yes, Dkt. Gwajima D anazidi tu kunifurahisha.Aisee mimi nilichelewa sana kumwelewa. Ila toka mwaka jana yani ni waziri wangu bora na hana makelele kama wengine. Yani kila waziri angekuwa anafanya kazi zake kama huyu tungepiga hatua. Ni one of the best sema watanzania hupenda wale wenye maigizo.
Kwa wa Mzee wa kububujikwa na machozi ukifanya kazi yako kwa kuzingatia weledi unapoteza mvuto.Aisee mimi nilichelewa sana kumwelewa. Ila toka mwaka jana yani ni waziri wangu bora na hana makelele kama wengine. Yani kila waziri angekuwa anafanya kazi zake kama huyu tungepiga hatua. Ni one of the best sema watanzania hupenda wale wenye maigizo.
Wabishi wenyewe tumekubali uchapakazi wakeWengine ndo mnagundua leo kuwa waziri D. Gwajima ana ‘kitu’?
Some of us started giving her her flowers long time ago 😉.
Dkt. Gwajima D nakuona…..
I love your work ethic ma’am.
You go above and beyond the call of duty to serve the people.
For that, you get a round of applause 👏 and a standing ovation from me and my kindred spirits.
Nawe unamkubali kumbe eeh?Wabishi wenyewe tumekubali uchapakazi wake
Ova
Ktk mawaziri angalau dr Dorothy anafanya kituNawe unamkubali kumbe eeh?