#COVID19 Waziri Gwajima akamilisha barua ya kukamatwa kwa askofu Gwajima

Alitoa maagizo kama rais, makamu wa rais au waziri mkuu?

Anayekamatwa ni mtu au kiongozi wa kiroho aliyetoa maoni yake ndani ya kanisa?

Mmeshaanza kuingilia uhuru wa imani za dini?

Kwanini kiongozi wa serikali atangaze ugomvi binafsi na mwananchi kwa kumishia kumkamata kiongozi wa kiroho?

Je, ni sahihi wananchi 100 kuathirika na chanjo ya UVIKO-19 kati ya wananchi 1,000,000 ni halali kuua kwa kigezo hicho?

Uhai wa mtu mmoja tu hauwezi kupindishwa!!!
Kwa kuwa wameshadai wanaoathirika au kufa kwa madhara ya chanjo ya majaribio ya UVIKO ni mia kati ya milioni, askofu yeye atakuwa katumia mfano wa Yesu anayewaacha kondoo 99 kwenda kumtafuta kondoo mmoja aliyepotea.......hiiiii bhagosha.
 
Rais Samia asipowafukuza hao masalia wa Magufuli watamyumbisha sana tokea lini waziri atoe maagizo halafu huyo aliyepewa maagizo na yeye atoe masharti! Hii maana yake ni moja tu ni dharau na ukimdharau mteule wa rais maana yake umemdharau rais mwenyewe.
Kwani igp ni mteule wa nani?

Think critically
 
Nipashe inaripoti kuwa waziri wa afya Dorothy Gwajima amesema amewaandikia polisi barua ya kukamatwa kwa mchungaji josephat Gwajima.

Hii ni baada ya IGP kusema kuwa afuate hatua za kisheria

Soon mtasikia Gwajiboy ametiwa ndani

USSR

---
Amesema amekamilisha taratibu zote za kisheria ikiwamo kuandika barua rasmi kwa vyombo vya usalama ili vianze kumhoji Askofu Gwajima.

Juzi Dk. Dorothy aliomba vyombo vya usalama kumhoji Askofu Gwajima, lakini Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro, alisema jeshi hilo haliwezi kufanya kazi hiyo bila kupata barua rasmi kutoka katika mamlaka husika.

Akizungumzia kauli hiyo ya IGP Sirro, Dk. Dorothy alisema kiongozi huyo wa Jeshi la Polisi yupo sahihi kwa kuwa vyombo vya usalama haviwezi kuanza kumhoji mtu bila kupata malalamiko rasmi kutoka kwa mlalamikaji ambaye ni yeye.

Akijibu maswali ya waandishi wa habari baada ya kuzungumza na watumishi wa Sekta ya Afya pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali jijini Mwanza, waziri huyo alisema hakuagiza Askofu Gwajima akamatwe bali alitaka aitwe na kuhojiwa.

"Juzi nikiwa Butiama niliagiza vyombo vya usalama kumhoji Askofu Gwajima ili athibitishe madai yake kwamba viongozi wa serikali wamehongwa ili kuruhusu kuingiza chanjo ya UVIKO-19,'' alisema.

Alisema anataka Askofu Gwajima aitwe na kuhojiwa ili aeleze nani kahongwa, lini alihongwa, wapi alipewa fedha hizo na zilikuwa kiasi gani.

Kuhusu upotoshaji wa chanjo ya UVIKO-19, waziri huyo alisema kuna watu wengi wanapotosha suala hilo na kwamba kila mtu mwenye simu, atafute habari zake na kuzisoma ili afanye uamuzi badala ya kusikiliza mambo ya watu.

Dk. Dorothy alisema mtu akichanjwa ni rahisi mwili wake kupambana na ugonjwa wa corona kama ukimpata kuliko yule ambaye hajachanja.

“Wengi hawakusikiliza kipindi cha awamu ya tano, ndiyo maana wanauliza mbona mlisema hivi, Hayati Rais John Magufuli katika hotuba yake alisema msiwe mnakimbilia chanjo hadi mjiridhishe, hakusema msichanje," alisema.

Waziri huyo alisema kuna watu wanatembea na kivuli cha Hayati Rais Magufuli kwa kuwa na ajenda zao zinazopotosha.

Akizungumzia tiba asili, alisema chanjo haifuti tiba hizo na kuwapiga marufuku watu wanaogeuza Wizara ya Afya kuwa ajenda ya kisiasa.

Kuhusu takwimu za vifo vilivyotokana na ugonjwa wa corona, Dk. Dorothy alisema bado zinaandaliwa na muda siyo mrefu zitatolewa kwa nchi nzima.

"Hizi takwimu tunazo, zikiwa tayari zitatolewa kwa nchi nzima kwa sababu zipo wazi na kila mtu ataziona na kuzisoma,'' alisema.

Katika hatua nyingine, waziri huyo alizungumzia ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Mwanza (Sekou Toure), akisema serikali imepitisha bajeti ya Sh. bilioni sita kwa mwaka wa fedha 2021/22 kwa ajili ya kumalizia jengo hilo.

Aliagiza kufikia Desemba mwaka huu jengo hilo liwe limekamilika na kuanza kutoa huduma kwa mama wajawazito.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel akizungumza hospitalini hapo, alisema jengo hilo lipo katika hatua nzuri na kumwomba Dk. Gwajima kuwaongezea fedha kwa ajili ya kukamilisha ili kufikia Desemba lianze kutoa huduma.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo hilo, Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dk. Bahati Peter, alisema ujenzi huo ulianza Oktoba 2017 chini ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na gharama za mradi ni Sh. bilioni 10.1 na kwamba fedha zilizopokewa hadi sasa ni Sh. bilioni 9.8.

Meneja wa Wakala wa Majengo (TBA) Mkoa wa Mwanza, Bernad Mayemba, alisema ujenzi huo umefanyika kwa mfumo wa ujenzi na usimamizi kwa kufuata mchoro na kuzingatia ubora wa vifaa vilivyotumika.

Chanzo: Nipashe
Hii kauli inayotumiwa na viongozi fulani fulani wa serikali ya " FULANI AKAMATWE" logic yake nini hasa?

Na nani mwenye mamlaka ya kuagiza "fulani akamatwe" bila ya yeye kuwepo alipo muhusika anayetakiwa kukamatwa..?

Na kwanini polisi ambacho ndicho kilichopo kishetia chenye jukumu la kukamata mtu yeyote wanayedhani amevunja sheria fulani, wakamhoji na kisha wakiona kuna kosa wakamfikisha mahakamani hawajaona kosa lolote linalofanywa na Rev. Bishop Josephat Gwajima....?

Huyu Waziri kuna kila ishara kuwa ana chuki binafsi tu na huyu mchungaji na sasa kaamua kutaka kutumia mamlaka na madaraka yake kwa kuwatumia polisi kunyanyasa na kumwonea mchungaji huyu ambaye in fact hajamtukana mtu yeyote bali kosa lake ni eti tu kutokukubaliana na serikali juu ya suala la chanjo ya U - 19....

Habari mbaya kwake Waziri Gwajima ni kuwa, hawezi kupata anachokitafuta kutoka kwa mtumishi wa Mungu Mch. Gwajima na badala yake atapoteza na kuumia yeye squarely...!!
 
I say, huyu mama anaupepeta sishangai hawaelewani na shemeji yake. Namuonea huruma huyo Gwajima junior. Hivi anaweza hata kumwambia niletee chakula kweli? Pepepepepepepepepeepepepepeeeeeee!!! Kapakue mwenyewe jikoni.
Kuoa janamke kama lile ni lazima uwe na shida kichwani kidogo..
Yule mmewe mnamuonaje kwanza
Kama zombie flani
 
Nipashe inaripoti kuwa waziri wa afya Dorothy Gwajima amesema amewaandikia polisi barua ya kukamatwa kwa mchungaji josephat Gwajima.

Hii ni baada ya IGP kusema kuwa afuate hatua za kisheria

Soon mtasikia Gwajiboy ametiwa ndani

USSR

---
Amesema amekamilisha taratibu zote za kisheria ikiwamo kuandika barua rasmi kwa vyombo vya usalama ili vianze kumhoji Askofu Gwajima.

Juzi Dk. Dorothy aliomba vyombo vya usalama kumhoji Askofu Gwajima, lakini Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro, alisema jeshi hilo haliwezi kufanya kazi hiyo bila kupata barua rasmi kutoka katika mamlaka husika.

Akizungumzia kauli hiyo ya IGP Sirro, Dk. Dorothy alisema kiongozi huyo wa Jeshi la Polisi yupo sahihi kwa kuwa vyombo vya usalama haviwezi kuanza kumhoji mtu bila kupata malalamiko rasmi kutoka kwa mlalamikaji ambaye ni yeye.

Akijibu maswali ya waandishi wa habari baada ya kuzungumza na watumishi wa Sekta ya Afya pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali jijini Mwanza, waziri huyo alisema hakuagiza Askofu Gwajima akamatwe bali alitaka aitwe na kuhojiwa.

"Juzi nikiwa Butiama niliagiza vyombo vya usalama kumhoji Askofu Gwajima ili athibitishe madai yake kwamba viongozi wa serikali wamehongwa ili kuruhusu kuingiza chanjo ya UVIKO-19,'' alisema.

Alisema anataka Askofu Gwajima aitwe na kuhojiwa ili aeleze nani kahongwa, lini alihongwa, wapi alipewa fedha hizo na zilikuwa kiasi gani.

Kuhusu upotoshaji wa chanjo ya UVIKO-19, waziri huyo alisema kuna watu wengi wanapotosha suala hilo na kwamba kila mtu mwenye simu, atafute habari zake na kuzisoma ili afanye uamuzi badala ya kusikiliza mambo ya watu.

Dk. Dorothy alisema mtu akichanjwa ni rahisi mwili wake kupambana na ugonjwa wa corona kama ukimpata kuliko yule ambaye hajachanja.

“Wengi hawakusikiliza kipindi cha awamu ya tano, ndiyo maana wanauliza mbona mlisema hivi, Hayati Rais John Magufuli katika hotuba yake alisema msiwe mnakimbilia chanjo hadi mjiridhishe, hakusema msichanje," alisema.

Waziri huyo alisema kuna watu wanatembea na kivuli cha Hayati Rais Magufuli kwa kuwa na ajenda zao zinazopotosha.

Akizungumzia tiba asili, alisema chanjo haifuti tiba hizo na kuwapiga marufuku watu wanaogeuza Wizara ya Afya kuwa ajenda ya kisiasa.

Kuhusu takwimu za vifo vilivyotokana na ugonjwa wa corona, Dk. Dorothy alisema bado zinaandaliwa na muda siyo mrefu zitatolewa kwa nchi nzima.

"Hizi takwimu tunazo, zikiwa tayari zitatolewa kwa nchi nzima kwa sababu zipo wazi na kila mtu ataziona na kuzisoma,'' alisema.

Katika hatua nyingine, waziri huyo alizungumzia ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Mwanza (Sekou Toure), akisema serikali imepitisha bajeti ya Sh. bilioni sita kwa mwaka wa fedha 2021/22 kwa ajili ya kumalizia jengo hilo.

Aliagiza kufikia Desemba mwaka huu jengo hilo liwe limekamilika na kuanza kutoa huduma kwa mama wajawazito.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel akizungumza hospitalini hapo, alisema jengo hilo lipo katika hatua nzuri na kumwomba Dk. Gwajima kuwaongezea fedha kwa ajili ya kukamilisha ili kufikia Desemba lianze kutoa huduma.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo hilo, Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dk. Bahati Peter, alisema ujenzi huo ulianza Oktoba 2017 chini ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na gharama za mradi ni Sh. bilioni 10.1 na kwamba fedha zilizopokewa hadi sasa ni Sh. bilioni 9.8.

Meneja wa Wakala wa Majengo (TBA) Mkoa wa Mwanza, Bernad Mayemba, alisema ujenzi huo umefanyika kwa mfumo wa ujenzi na usimamizi kwa kufuata mchoro na kuzingatia ubora wa vifaa vilivyotumika.

Chanzo: Nipashe
Niko siti ya mbele kuona hatima na mwisho wa tamthilia hii.
 
Nipashe inaripoti kuwa waziri wa afya Dorothy Gwajima amesema amewaandikia polisi barua ya kukamatwa kwa mchungaji josephat Gwajima.

Hii ni baada ya IGP kusema kuwa afuate hatua za kisheria

Soon mtasikia Gwajiboy ametiwa ndani

USSR

---
Amesema amekamilisha taratibu zote za kisheria ikiwamo kuandika barua rasmi kwa vyombo vya usalama ili vianze kumhoji Askofu Gwajima.

Juzi Dk. Dorothy aliomba vyombo vya usalama kumhoji Askofu Gwajima, lakini Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro, alisema jeshi hilo haliwezi kufanya kazi hiyo bila kupata barua rasmi kutoka katika mamlaka husika.

Akizungumzia kauli hiyo ya IGP Sirro, Dk. Dorothy alisema kiongozi huyo wa Jeshi la Polisi yupo sahihi kwa kuwa vyombo vya usalama haviwezi kuanza kumhoji mtu bila kupata malalamiko rasmi kutoka kwa mlalamikaji ambaye ni yeye.

Akijibu maswali ya waandishi wa habari baada ya kuzungumza na watumishi wa Sekta ya Afya pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali jijini Mwanza, waziri huyo alisema hakuagiza Askofu Gwajima akamatwe bali alitaka aitwe na kuhojiwa.

"Juzi nikiwa Butiama niliagiza vyombo vya usalama kumhoji Askofu Gwajima ili athibitishe madai yake kwamba viongozi wa serikali wamehongwa ili kuruhusu kuingiza chanjo ya UVIKO-19,'' alisema.

Alisema anataka Askofu Gwajima aitwe na kuhojiwa ili aeleze nani kahongwa, lini alihongwa, wapi alipewa fedha hizo na zilikuwa kiasi gani.

Kuhusu upotoshaji wa chanjo ya UVIKO-19, waziri huyo alisema kuna watu wengi wanapotosha suala hilo na kwamba kila mtu mwenye simu, atafute habari zake na kuzisoma ili afanye uamuzi badala ya kusikiliza mambo ya watu.

Dk. Dorothy alisema mtu akichanjwa ni rahisi mwili wake kupambana na ugonjwa wa corona kama ukimpata kuliko yule ambaye hajachanja.

“Wengi hawakusikiliza kipindi cha awamu ya tano, ndiyo maana wanauliza mbona mlisema hivi, Hayati Rais John Magufuli katika hotuba yake alisema msiwe mnakimbilia chanjo hadi mjiridhishe, hakusema msichanje," alisema.

Waziri huyo alisema kuna watu wanatembea na kivuli cha Hayati Rais Magufuli kwa kuwa na ajenda zao zinazopotosha.

Akizungumzia tiba asili, alisema chanjo haifuti tiba hizo na kuwapiga marufuku watu wanaogeuza Wizara ya Afya kuwa ajenda ya kisiasa.

Kuhusu takwimu za vifo vilivyotokana na ugonjwa wa corona, Dk. Dorothy alisema bado zinaandaliwa na muda siyo mrefu zitatolewa kwa nchi nzima.

"Hizi takwimu tunazo, zikiwa tayari zitatolewa kwa nchi nzima kwa sababu zipo wazi na kila mtu ataziona na kuzisoma,'' alisema.

Katika hatua nyingine, waziri huyo alizungumzia ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Mwanza (Sekou Toure), akisema serikali imepitisha bajeti ya Sh. bilioni sita kwa mwaka wa fedha 2021/22 kwa ajili ya kumalizia jengo hilo.

Aliagiza kufikia Desemba mwaka huu jengo hilo liwe limekamilika na kuanza kutoa huduma kwa mama wajawazito.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel akizungumza hospitalini hapo, alisema jengo hilo lipo katika hatua nzuri na kumwomba Dk. Gwajima kuwaongezea fedha kwa ajili ya kukamilisha ili kufikia Desemba lianze kutoa huduma.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo hilo, Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dk. Bahati Peter, alisema ujenzi huo ulianza Oktoba 2017 chini ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na gharama za mradi ni Sh. bilioni 10.1 na kwamba fedha zilizopokewa hadi sasa ni Sh. bilioni 9.8.

Meneja wa Wakala wa Majengo (TBA) Mkoa wa Mwanza, Bernad Mayemba, alisema ujenzi huo umefanyika kwa mfumo wa ujenzi na usimamizi kwa kufuata mchoro na kuzingatia ubora wa vifaa vilivyotumika.

Chanzo: Nipashe
Ile statement ya "I wish I could be..." chanzo alikuwa ni nani
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom