Kwa kuwa wameshadai wanaoathirika au kufa kwa madhara ya chanjo ya majaribio ya UVIKO ni mia kati ya milioni, askofu yeye atakuwa katumia mfano wa Yesu anayewaacha kondoo 99 kwenda kumtafuta kondoo mmoja aliyepotea.......hiiiii bhagosha.Alitoa maagizo kama rais, makamu wa rais au waziri mkuu?
Anayekamatwa ni mtu au kiongozi wa kiroho aliyetoa maoni yake ndani ya kanisa?
Mmeshaanza kuingilia uhuru wa imani za dini?
Kwanini kiongozi wa serikali atangaze ugomvi binafsi na mwananchi kwa kumishia kumkamata kiongozi wa kiroho?
Je, ni sahihi wananchi 100 kuathirika na chanjo ya UVIKO-19 kati ya wananchi 1,000,000 ni halali kuua kwa kigezo hicho?
Uhai wa mtu mmoja tu hauwezi kupindishwa!!!