Waziri Gwajima afafanua dawa ya asili ya Corona (NIMRCAF), waweza itengeneza mwenyewe nyumbani

Tutajie majina yao mtaa walipokuwa wanaishi kazi zao kabila nk tuhakiki kuanzia kwa ndugu ,majirani,wazee wenzao ,marafiki,madaktari nk
Wew kibaraka agent wa dawa za wazungu tu huna lolote

Tanzania safari hii mtatujua sisi ni mami waambie mabwana zako wazungu waliokutuma uponde dawa zetu tuchukue zao kuwa kwenye Corona kwa Tanzania wamekwaa kisiki
Pumbavu zako, usiniongezee machungu kabisa, nakutajia kama nani nyau wewe. Akili yako ndogo hiyo kuna kitu unajua. crocodile mkubwa wewe. Tena achana na mimi karumekenge wewe. Unajua nini wewe nyang'au mkubwa wewe. Tunafiwa huku unaniletea kichwa maji yako hapa
 
Na wewe hujui unadhani lile bati la kuweka simu card ni hilo unaloezeka kwenye nyumba pole kwa ujinga uliokujaa
Mwenyekiti wako ndo hajui na ndiye aliyesema hivyo, mnalingana akili mburumatale wewe.
 
Na wewe hujui unadhani lile bati la kuweka simu card ni hilo unaloezeka kwenye nyumba pole kwa ujinga uliokujaa
Bosi wako kwa uelewa wake mdogo alijua ndiyo material ya kutengenezea mabati, na wewe umezama humo humo
 
Mwenyekiti wako ndo hajui na ndiye aliyesema hivyo, mnalingana akili mburumatale wewe.
Bati ziko za aina nyingi kuna za magari kuna za nyumba kuna za simu kuna bati za ndege nk wewe ulivyosikia bati kwa kuwa ni bwege akili huna ukajua anaongelea bati za kuezeka nyumba
 
Nchi imegeuka kua ya kishirikina, inchi ya wapiga ramli.

Toka lini kachumbari/chachandu ikawa tiba ya magonjwa?

Tufute wizara ya afya maana haina uhumimu, tutumie waganga wa kienyeji na wapiga ramli.
Kabla ya mzungu kuleta tiba yao,je waafrika walikuwa wanatibiwa na nini?
Pili hata hiyo chanjo ya wazungu huwezi kuipata hadi miezi sita kwani nao haiwatoshi,sasa muda huo utafanyaje?
 
Bati ziko za aina nyingi kuna za magari kuna za nyumba kuna za simu kuna bati za ndege nk wewe ulivyosikia bati kwa kuwa ni bwege akili huna ukajua anaongelea bati za kuezeka nyumba
Ninaongea na zuzu, kwa hiyo hayo ndiyo madini ya kutenegenezea simu yanayopatikana Tanzania. Kapiga soga kwenye vijiwe vya gahawa. Hujui kitu
 
Wewe ni daktari? Maana umeshupalia utafiti as if ukipewa hizo tafiti utaelewa kilichoko kwenye tafiti.
Well said,kashupalia utafiti,utafiti!!! Hana habari kwamba chanjo hazitibu COVID-19, kazi ya chanjo ni ku-pe prime kinga ya mwili kutambua virusi vya kovid mapema na kuvishambulia kabla avijaleta madhala zaidi - kwa maneno mengine kazi ya chanjo sio kutibu virusi per se bali ku-boost immune system ya mwili wako iwe na uwezo mkubwa wa kutambua virusi vya kovid mapema vikashambuliwa vikali na kuondolewa kwenye system - buzz word hapa ni: kuipiga tafu kinga ya mwili wako (Immune system).

Kwani Dk.Magufuli na Dk.Gwajima wanacho shauri Watanzania wenzao kina ubaya gani, si mambo ni yale yale ya kutumia njia mbadala ya ku boost/piga tafu kinga ya miili yetu ili iweze kutunusuru dhidi ya mashambulizi ya Kovid, hata ukiukwaa una-sublime gracefully (kimya kimya) hapo hakuna cha uchawi wala nini sijui, hiyo ni sayansi ya kutumia mbinu mbadala kuliko kutegemea chanjo ambazo hatujui kama wahusika walizifanyia usanii gani kweye DNA/RNA au protein zake wakaongezea vikoromboizo vya kudhuru baadhi ya race fulani hapa Duniani kwa kupitia kwenye chanjo zao za kimanghushi,kumbuka kwamba wana sayansi uwezo wa ku-manipulate/tinker aroud na make up ya virus, uwezo huo wanao sana.

Tuwakumbusheni mara ngapi kwamba ajenda hiyo ya siri ya kutaka ku-depopulate raia/wakazi wa Dunia ya tatu specifically kwenye continent la Afrika, ajenda hiyo ipo sana mbona - actually pandemic hii ndio imewapa an upper hand wenda wazimu hawa kutekeleza ujinga yao, maana wanajua kwamba hivi sasa Dunia haina ujanja tena wa kukwepa chanjo zao, kila mtu Duniani atalazimika kuchanjwa - like it or not up2u, najua baadhi ya watu watanipinga na kusema mbona chanjo hizo zinatumika Ulaya na Merikani kwani zitakazo letwa Africa zitakuwa na tatizo gani? Wanacho sahau ni kwamba batch za chanjo zitakazo tumika Ulaya na Merikani ni tofauti na batch zilizo lengwa kuletwa Africa ambazo zitakuwa zimefanyiwa usanii, nikisema hivyo baadhi ya watu wananijia juu na kudai mnaona jamaa ana endeleza conspiracy theories zake yuko overly obsessed na William Gates na mkewe, yaani baadhi ya watu hawa amini kwamba ajenda ya kutudhuru sisi Waafrika kupitia kwenye chanjo, ajenda hiyo bado hipo pale pale.

Labda nikumbushe kidogo kuhusu Big Pharma Companies na watafiti wa chanjo za KOVID wanao fadhiliwa na Bill Gates na mkewe, genge hilo ndilo linashikikiza W.H.O izishauri nchi masikini zichukuwe mkopo kutoka World Bank kwa ajili ya kununulia chanjo zinazo zalishwa na makampuni tajwa hapo juu, mwisho wa siku nchi masikini zitajikuta zinabebeshwa mzigo wa madeni, makampuni hayo katika harakati zao za kutaka kulazimisha nchi masikini kununua chanjo zao fasta waliwahi kushurutisha baadhi ya mataifa ya Africa ambayo yanajulikana kutokana na tabia zao za kuwa corrupt to the core, na kweli baada ya kuahidiwa kitu kidogo nchi hizo zilikubali bila kusita ili raia wake wafanyiwe majaribio ya chanjo zao - sasa angalia kilicho kuja kuyakumba mataifa hayo baadea baada ya kukubali baadhi ya raia wao kufanyiwa majaribio ya chanjo za Oxford-Zeneca.. nk.

Mataifa yaliyo kubali kulubuniwa ili raia wake wafanyiwe majaribio ya chanjo za Oxford-Zeneca..nk ndio hivi sasa yamekumbwa na kile wanacho kiita COVID variat gani sijui,je, is this a coincident? Personally I don't think so, walaghai hawa wakidai kwamba eti virus vili MUTATE na ku-create strain/variant mpya - madai hayo ni ulaghai mtupu, chanjo hizo zililengwa ili hilo litokee katika nchi za Kiafrica na Amerika kusini zilizo kubali majaribio ya chanjo lengo likiwa ni kuleta taharuki zaidi katika Bara la Afrika na Duniani nzima ili Mataifa ya Africa yaone kuna uharaka na umuhimu wa pekee wa kuagiza idadi kubwa ya chanjo mapema iwezekanavyo kabla mambo hayaja haribika zaidi, chanjo ziagizwe kutoka kwenye makampuni hayo ili wapige hela ndefu,vile vile makampuni yatatumia mwanya huo kutumbukiza ajenda zao za ziada kwenye chanjo zitakazo letwa barani Afrika.

Kama nilivyo fafanua hapo juu, COVID variant haikuhibukia South Africa, Kenya, Nigeria na Brazil bila sababu za msingi, ukichunguza kwa umakini kama nilivyo eleza tangu mwanzo - mataifa hayo ndio yalikubali raia wake wafanyiwe majaribio ya chanjo za Oxford, ndio maana mwisho wa siku chanjo zikazua balaa kwenye mataifa tajwa hapo juu aidha kwa kudhamilia au kwa bahati mbaya former ndio neno sahihi ie kudhamilia. Jamaa hawa wanachezea sana akili za Viongozi corrupt barani Afrika pamoja na Dunia.

Sasa sisi kama Taifa tumejifunza nini kutokana na na matukio haya ya COVID-19 na makampuni ya uzalishaji chanjo za KOVID. Tumejifunza kwamba sisi kama Taifa tume bahatika mwenyezi Mungu kutupatia Rais anaye ona mbali na anaye jali mstakabali wa Taifa letu, najua mtamsema mengi, mengine ya kumuunga mkono, mengine kupinga ushauri wake, wenye lengo la kisiasa watamkejeri, kumsema vibaya na wakati mwingine kujaribu kumvunja moyo, hamtaki afanikiwe katika malengo yake la kutaka kulinusuru Taifa letu dhidi ya binadamu walio pania to kill us slowly, tunacho sahau ni kwamba yeye kama mwana sayansi ilisha soma mchezo mzima unao chezwa na makampuni ya kuzalisha chanjo, sio chanjo tu si ajabu ndio walikuwa ni the brains behind ya kuleta gonjwa hili Duniani, wala hiyo si ajabu mbona yapo maabara ya kijeshi yanayo zilisha vimelea hatarishi vya kibailojia vile vile na uzalishaji wa sumu zinazo tokana na kemikali.

Watanzania tutakuja kukumbuka ujasiri wa JMP wa kutuhepusha balaa ambalo lingetokana na chanjo za kimagamshi kutoka kwenye kampuni za kimagharibi, onyo lake tusilichukulie poa hata kidogo.
 
Sasa nani alifanya utafiti wa kisayansi kwamba pilipili, kachumbari inatibu korona?

Na ni kwa nini isiwe majani ya mpapai, mizizi ya muembe ama miwa au supu ya mawe?
Nilivyomuelewa waziri ,hizi pilipili n.k.hazitibu korona. Ni booster ya kinga za mwili ili uweze kuvishinda virusi. Ila pia hakutangaza kama kuna korona. Na naibu waziri alijitahidi sana kueleza kuhusu tafsiri za magonjwa au uptoshaji na jinsi dawa za asili zinavyoweza kuokoa maisha .Vingine ni kufanya mazoezi na kulala masaa 7 hadi 8 pamoja na kujifukiza. Kinachokosekana kadiri ya WHO ni kuvaa barakoa ,social distancing na mchakato wa chanjo. Hatujui kama nyungu ndiyo inachukua nafasi ya barakoa au la.
 
Back
Top Bottom