#COVID19 Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19

Butiama.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima ameliagiza Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kupambana na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kumkamata na kuhoji mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ili athibitishe Tamko lake la kuzuia dhidi ya Serikali na kumbukumbu kuhusu chanjo ya Uviko 19.

"Gwajima ni ndugu yangu, ni shemeji yangu kabisa, lakini mimi ni waziri nimekula kiapo cha kutumikia nchi yangu sio kumtumikia shemeji yangu. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa. Naagiza akamatwe popote alipo ahojiwe juu ya haya madai yake na hatua zichukuliwe "amesema"

Amesema mara kadhaa Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa ya kupotosha juu ya chanjo na hakuna hatua zinazoweza kuchukuliwa dhidi yake, jambo ambalo limekuwa likichanganywa na mchanganyiko katika jamii.

Amesema sekta ya afya si ya kuchezewa, hivyo kila mtu anayejaribu kupakua mipango ya Serikali ni lazima achukuliwe hatua bila kujali nafasi zake au uhusiano wake na mtu yeyote.

DK Gwajima amesema Askofu Gwajima alikuwa akidai kuwa chanjo zilizoletwa nchini ni feki, hivyo ni vema aeleze chanjo feki ziko wapi.

"Nipo tayari kwenda kwa mkemia mkuu ili kupima chanjo itakayoonyeshwa na askofu huyo, alihakikisha na endapo hatakuwa na imani na mkemia wa Serikali, wizara ipo radhi kwenda hata nchi jirani kwa ajili ya kupima chanjo hizo," alisema Dk Gwajima.

Amesema mambo ya sayansi yanapingwa na sayansi, hivyo Askofu Gwajima anatakiwa kuthibitisha juu ya juu ya madai yake hayo, vinginevyo hatua Kali zichukuliwe dhidi yake.

"Watu wanasema mbona chanjo imepatikana haraka wanasahau kuwa haya mambo ni ya sayansi, naomba tuukate ugonjwa huu katika jamii kwa kukubali kuchanja, " alisema.

Gwajiboy kaza uzi. Milango ya gereza itafunguka.

😂😂!
 
Hii NCHi Ina vituko sana, yaani watu ambao jana walikuwa wanapinga na kukataa kabisa kama hata huo ugonjwa wa CORONA upo, leo wanamkamata mtu anayepinga CHANJO ya CORONA wakati ni haki yake na hiari yake kuchanjwa au la na kuhubiri ni sehemu ya kazi yake.

KATIBA MPYA#
Screenshot_20210817-161121_Twitter.jpg
images.jpeg.jpg
gwajima-2-data.jpg
 
Waziri nae abaki na ya kaizari, asiingilie mambo ya wenye Imani . Kumwambia mwenye Imani athibitishe maana yake anataka Mwenyezi-MUNGU athibitishe. Mwenyezi MUNGU akiamua waliochoma chanjo wapate madhara waziri anayotaka Askofu Gwajima athibitishe ,atawezana.
Kwani hoja za "Askofu" Gwajima ni za kiimani au za kiiteligensia?
 
Butiama.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima ameliagiza Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kupambana na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kumkamata na kuhoji mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ili athibitishe Tamko lake la kuzuia dhidi ya Serikali na kumbukumbu kuhusu chanjo ya Uviko 19.

"Gwajima ni ndugu yangu, ni shemeji yangu kabisa, lakini mimi ni waziri nimekula kiapo cha kutumikia nchi yangu sio kumtumikia shemeji yangu. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa. Naagiza akamatwe popote alipo ahojiwe juu ya haya madai yake na hatua zichukuliwe "amesema"

Amesema mara kadhaa Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa ya kupotosha juu ya chanjo na hakuna hatua zinazoweza kuchukuliwa dhidi yake, jambo ambalo limekuwa likichanganywa na mchanganyiko katika jamii.

Amesema sekta ya afya si ya kuchezewa, hivyo kila mtu anayejaribu kupakua mipango ya Serikali ni lazima achukuliwe hatua bila kujali nafasi zake au uhusiano wake na mtu yeyote.

DK Gwajima amesema Askofu Gwajima alikuwa akidai kuwa chanjo zilizoletwa nchini ni feki, hivyo ni vema aeleze chanjo feki ziko wapi.

"Nipo tayari kwenda kwa mkemia mkuu ili kupima chanjo itakayoonyeshwa na askofu huyo, alihakikisha na endapo hatakuwa na imani na mkemia wa Serikali, wizara ipo radhi kwenda hata nchi jirani kwa ajili ya kupima chanjo hizo," alisema Dk Gwajima.

Amesema mambo ya sayansi yanapingwa na sayansi, hivyo Askofu Gwajima anatakiwa kuthibitisha juu ya juu ya madai yake hayo, vinginevyo hatua Kali zichukuliwe dhidi yake.

"Watu wanasema mbona chanjo imepatikana haraka wanasahau kuwa haya mambo ni ya sayansi, naomba tuukate ugonjwa huu katika jamii kwa kukubali kuchanja, " alisema.
Yaani hata huko kwenyewe inakotengenezwa hiyo chanjo inapingwa ajabu nyie mlioletewa tu za msaada ndo mnataka mpaka kufunga watu, acheni uonezi.
 
Gwajima hana maadili na huo uasikofu wake ni utapeli tu,nashangaa Sana Kuna watu Bado wanamuamini Askofu tapeli.Yeye taaluma ya udaktari wa binadamu hana eti ndo anapinga chanjo ya korona kwa fake facts .Ina maana Gwajima ndo ana akili kuliko wanasayansi wote duniani aache uhuni wake.
Ndugu, kwenye haya mambo huwa hatujadili personality ya mtu bali hoja alizotoa ndo zinapaswa kujibiwa!!!!
 
Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima
--
Butiama.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Doroth Gwajima ameliagiza Jeshi la Polisi pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini ( Takukuru) kumkamata na kumhoji mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya Uviko 19.

Dk Gwajima ametoa agizo hilo leo Jumanne Agosti 17, 2021 katika kijiji cha Kyatunge wilayani Butiama akibainisha kuwa Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa za kupotosha kwa makusudi jambo linaloivuruga wizara yake na Serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Credits: Mwananchi

Pia soma
- #COVID19 - Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

Menyewe kwa menyewe wallahi 😂😂!
 
View attachment 1895722

Hoja za Dk Dorothy Gwajima kuhusu kuagiza kukamatwa Gwajima

- Mara kadhaa Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa za kupotosha juu ya chanjo na hakuna hatua zinazochukuliwa dhidi yake, jambo ambalo limekuwa likileta mkanganyiko katika jamii.

- Sekta ya afya si ya kuchezewa, hivyo yeyote atakayejaribu kupotosha au kuvuruga mipango ya Serikali ni lazima achukuliwe hatua bila kujali nafasi yake au uhusiano wake na mtu yeyote.

- DK Gwajima amesema Askofu Gwajima amekuwa akidai kuwa chanjo zilizoletwa nchini ni feki, hivyo ni vema aeleze chanjo feki ziko wapi.

- Mambo ya sayansi yanapingwa na sayansi, hivyo Askofu Gwajima anatakiwa kutoa uthibithisho wa kisayansi juu ya madai yake hayo, vinginevyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
"Gwajima ni ndugu yangu, ni shemeji yangu kabisa, lakini mimi ni waziri nimekula kiapo cha kutumikia nchi yangu sio kumtumikia shemeji yangu. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvuruguwa. Naagiza akamatwe popote alipo ahojiwe juu ya haya madai yake na hatua zichukuliwe"

"Watu wanasema mbona chanjo imepatikana haraka wanasahau kuwa haya mambo ni ya kisayansi, nawaomba tuukatae ugonjwa huu katika jamii kwa kukubali kuchanja, wakati wataalamu wakiendelea na tafiti kwa ajili ya chanjo ya magonjwa kama ukimwi, malaria, TB na mengine,

“Nipo tayari kwenda kwa mkemia mkuu ili kupima chanjo itakayoonyeshwa na askofu huyo, ili kuthibitisha na endapo hatakuwa na imani na mkemia wa Serikali, wizara ipo radhi kwenda hata nchi jirani kwa ajili ya kupima chanjo hizo,” amenukuliwa Dk Gwajima.
Kwanza atueleze msimamo wake wa mwanzo ulibadilikaje?
 
Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima
--
Butiama.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Doroth Gwajima ameliagiza Jeshi la Polisi pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini ( Takukuru) kumkamata na kumhoji mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya Uviko 19.

Dk Gwajima ametoa agizo hilo leo Jumanne Agosti 17, 2021 katika kijiji cha Kyatunge wilayani Butiama akibainisha kuwa Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa za kupotosha kwa makusudi jambo linaloivuruga wizara yake na Serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Credits: Mwananchi

Pia soma
- #COVID19 - Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

Mi Nazani ni Vizuri Kama Serikali Ingejibu Hoja Zake Ili Tukate Mzizi Wa Fitina
 
Unaweza kueleza ni kwanini akamatwe?

Serikali imesema chanjo ni hiari na Gwaji anaeleza wasiwasi wake juu ya chanjo kosa liko wapi?

Kwanini msijibu kujibu hoja kwa hoja?

Mna vichwa vya panzi hamuwezi kujibu hoja.

Hamna tofauti na mkoloni...phaller wewe
Tena ikiwezekana apotezwe tu kabisa!!!
 
Waziri wa afya ana mamlaka ya kuamrisha jeshi la polisi? Hii nchi inaongozwa na vilaza watupu
Bro unasema waziri kote huko.. mteule wa raisi ka mkuu wa wilaya anampa order police ..

Reference maneno ya mwendazakei.. " ....sheria inawaruhusu kumweka mtu ndani 48hours..."
 
Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima
--
Butiama.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Doroth Gwajima ameliagiza Jeshi la Polisi pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini ( Takukuru) kumkamata na kumhoji mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya Uviko 19.

Dk Gwajima ametoa agizo hilo leo Jumanne Agosti 17, 2021 katika kijiji cha Kyatunge wilayani Butiama akibainisha kuwa Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa za kupotosha kwa makusudi jambo linaloivuruga wizara yake na Serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Credits: Mwananchi

Pia soma
- #COVID19 - Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia
Huu mwaka mpaka unaisha tutaona mengi...
 
Dah... Yani licha ya mapungufu aliyokuwa nayo BASHITE...

Hapa nimemmiss.

Mtu angeshawekwa ndani zamaanii..
 
Kanisani kwake si kuna fahamika lakini kwanini wasimkamatie huko
Hii ni njia ya kizamani ya kupambana na watu wenye misimamo hasi.Ningeshauri Waziri wa Afya aitishe kongamano kati ya wanasayansi wake na watu wanaoamini imani za kishirikina kama Bishop Gwajima ili wafanye mdahalo ( Debate).
 
Back
Top Bottom