Waziri Godfrey Mwambe kama hauwezi kuthibitisha uongo wa Hayati Magufuli basi unapaswa kujiuzulu mara moja

Inasikitisha sana!

Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi?

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!

Hayati Rais Magufuli aliyasema hayo mchana kweupe tena bila kumung'unya maneno na makofi mengi akapigiwa !!!! Nadhani hata huyu Waziri Godfrey Mwambe alikuwa kwenye hadhira hiyo kama Boss wa TIC !! Clip zipo YouTube!

Sasa swali kwako Ndugu Waziri Mwambe, umesema hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa!! Je iliwezekanaje Rais wa Awamu ya NNE Mhe. Kikwete kuzindua mradi na kuweka jiwe la msingi katika mradi ambao ulikuwa hauna mkataba?

Clip za uzinduzi huo zipo YouTube na ilikuwa covered katika taarifa ya habari TBC.

Kama kweli Mhe.Kikwete alizindua mradi ambao haukuwa na mkataba bado basi Matatizo ya Nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyoelezwa au tunavyofahamu!

Cha kusikitisha ni kuwa viongozi wote hawa wenye ndimi tofauti wanatokana na Chama Cha Mapinduzi!!

Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO?

Kama kuna madudu wahusika wawajibike!! Kwa kweli wananchi mnatuchanganya sana!

Huyu anasema hili, yule anasema kile! CHAMA KIMOJA, SERIKALI MOJA , SCRIPT TOFAUTI.
Inasikitisha sana!

Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi?

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!

Hayati Rais Magufuli aliyasema hayo mchana kweupe tena bila kumung'unya maneno na makofi mengi akapigiwa !!!! Nadhani hata huyu Waziri Godfrey Mwambe alikuwa kwenye hadhira hiyo kama Boss wa TIC !! Clip zipo YouTube!

Sasa swali kwako Ndugu Waziri Mwambe, umesema hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa!! Je iliwezekanaje Rais wa Awamu ya NNE Mhe. Kikwete kuzindua mradi na kuweka jiwe la msingi katika mradi ambao ulikuwa hauna mkataba?

Clip za uzinduzi huo zipo YouTube na ilikuwa covered katika taarifa ya habari TBC.

Kama kweli Mhe.Kikwete alizindua mradi ambao haukuwa na mkataba bado basi Matatizo ya Nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyoelezwa au tunavyofahamu!

Cha kusikitisha ni kuwa viongozi wote hawa wenye ndimi tofauti wanatokana na Chama Cha Mapinduzi!!

Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO?

Kama kuna madudu wahusika wawajibike!! Kwa kweli wananchi mnatuchanganya sana!

Huyu anasema hili, yule anasema kile! CHAMA KIMOJA, SERIKALI MOJA , SCRIPT TOFAUTI.
Mwambe ni kisemeo tu katumwa na Samia na snitch wa kwanza ni Samia, alikuwa makamu wa rais kavunja rekodi ya usaliti kwa kiwango kikubwa sana. Malipo yapo chini ya jua. Na 2025 ajiandae kulea wajukuu na haitatokea mwanamke kupata cheo cha umakamu wala urais mwisho wao utakuwa uwaziri mkuu tu ambao ianze kuwa ndoto yao.
 
Spika Ndugai na buñge lako kwa ujumla hebu lihurumieni taifa lenu, ni kweli hatuwezi kuwafanya lolote coz tayari nyie ni wabunge till 2025 lakini kumbukeni pia mnavizazi vyenu vya mbeleni wakati huo hamtakuwa hai. Hivi kweli mradi mkubwa kama huo buñge limekaa pembeni linausikilizia tu kama vile Sheria haiwaruhusu kuujadili?. Sasa kunahaja Gani ya kuwa na buñge ambalo mikataba yote yenye kuhusu matrilioni ya fedha kama SGR, Ununuzi wa ndege, bwawa la umeme, ujenzi wa bandari n.k haijadikiwi na buñge. Au kazi kubwa ni kupitisha bajeti ya waziri wa fedha isiyokuwa na uhalisia kwa kishindo na makofi mengi?
 
Kuna uwezekano mkubwa mkataba haukusainiwa.
JPM hakuvunja mkataba bali alikataa kutia saini kutokana na vipengele alivyo hisi vibaya kwa taifa.

Ungesainiwa na kusitishwa utekelezaji basi serikali ingeshitakiwa kwa kuvunja mktaba.
 
Hata kama hutaki huo ndo ukweli wenyewe ambao hata mimi nimeuleza hapa mara 100 kidogo...

HAPAKUWA NA MKATABA WOWOTE ULIOKUWA UMESAINIWA

Ambacho kilisainiwa ni Initial Agreement Framework, na baadae ikasainiwa MoU kwa kuhusisha Oman Fund ambae alikuwa mwekezaji kwenye Bagamoto Special Economic Zone.

Hiyo Framework Agreement ilitaja ni mambo gani Mwekezaji aliyata kwa upande wake, na ilikuwa na duration ya mwaka mmoja! Yaani Serikali na Timu yake walitakiwa kujadili matakwa ya Mwekezaji, kisha baada ya hapo wakutane na Mwekezaji kwenye meza moja ili kujadiliana ni kipi na kipi serikali wanakubaliana nacho na kipi hawakubaliani!!

Kwavile muda wa JK ulikuwa umeshaisha, ina maana hiyo 1 year ya kupitia Framework na kufanya majadiliano ya mwisho ingefanyika na serikali ambayo angefuata!

Hilo suala la kuzindua mradi zilikuwa ni siasa za uchaguzi mkuu tu! Hata SGR walizindua vile vile!! Kila mtu anafahamu jinsi ambavyo Lowassa aliwakalia kooni CCM!! Na ndo maana hata ukifuatilia, utakuta miradi yote hiyo "imezinduliwa" dakika za majeruhi!

Tatizo watu mlizoea kudanganywa, na matokeo yake hata anapotoka wa kuwatoa matongotingo mnamuona ndo adui yenu!!
Umelielezea vizuri mkuu. Shida iko sasa kwa wasemaji official kuliweka sawa hili
Sidhani kama kuna tatizo akitokea waziri Mwambe au mtu yeyote akaliweka sawa kama ulivyofanya. Tatizo kubwa ni gossips nyingi kiasi kwamba tunabaki kwenye dilema, kulikuwa na mkataba/ hakukuwa na mkataba!
 
Vile MATAGA wanawahi kwenye uzi kuja kutetea legacy😁😁😁
 
It was an intial agreement between the two parts. Baada ya makubaliano yale ndio usainishaji wa mkataba wenyewe ungefuata. Waziri yuko sahihi kuwa mkataba haukusainiwa na aliyeshindwa kutoa maelezo vizuri mbele ya wananchi ni Magufuli.
 
Inasikitisha sana!

Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi?

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!
Kwani makamu wa Jpm,waziri mkuu wa Jpm, waziri wa fedha wa Jpm, na katibu mkuu wake wa wizara wanasemaje?
 
Umelielezea vizuri mkuu. Shida iko sasa kwa wasemaji official kuliweka sawa hili
Sidhani kama kuna tatizo akitokea waziri Mwambe au mtu yeyote akaliweka sawa kama ulivyofanya. Tatizo kubwa ni gossips nyingi kiasi kwamba tunabaki kwenye dilema, kulikuwa na mkataba/ hakukuwa na mkataba!
You're RIGHT lakini nadhani tatizo ilikuwa watu kuhofia kwenda kinyume na kauli ya Rais...

JPM sio mwanasheria... usikute alikuwa anadhani Agreement Framework au MoU ndo mkataba wenyewe!! Sasa kwavile Rais alishasema "Mkataba ni mbovu", basi ikawa taabu kwa wengine kusema vinginevyo!!

Lakini hata hao wengine, huenda nao hawafahamu tofauti kati ya Framework Agreement na Contract!

Lakini pia, kuna wengine waliamua kupotosha tu... ama kwa makusudi, au kwa kutofahamu! Au inawezekana labda wanafahamu Watanzania wanapenda kusikia lugha gani! Ukitaka uungwaji mkono, just say "Wezi tu wale" "Hiki na kile ni ufisadi mtupu"! Hapo utashangiliwa na kuonekana ni Mzalendo hata kama hutatoa ushahidi wowote, raia wataichukulia kauli hiyo ni UKWELI MTUPU KUTOKA KWA MZALENDO!

Mfano mzunri ni Marehemu Renatus Mkinga...

Huyu alikuwa Mjumbe wa TPA, lakini bila aibu kuna siku akasema "Wachina hawana pesa yoyote ya kujenga bandari, wamekuja kuiba tu. Mwenye pesa ni Oman"!

Watu walishangilia kweli kweli bila kujiuliza hivi inawezekana kweli Oman awe na pesa ya kujengea bandari ya kumzidi Mchina!!

Yaani wala sitaki kuamini kwamba uhusika wa Oman ulikuwa kwenye Bagamoyo Special Economic Zone... yaani Industrial Complex ambayo ilitarajiwa kujengwa ili "kulisha" bandari ambayo ingejengwa!!
 
Inasikitisha sana!

Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi?

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!

Hayati Rais Magufuli aliyasema hayo mchana kweupe tena bila kumung'unya maneno na makofi mengi akapigiwa !!!! Nadhani hata huyu Waziri Godfrey Mwambe alikuwa kwenye hadhira hiyo kama Boss wa TIC !! Clip zipo YouTube!

Sasa swali kwako Ndugu Waziri Mwambe, umesema hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa!! Je iliwezekanaje Rais wa Awamu ya NNE Mhe. Kikwete kuzindua mradi na kuweka jiwe la msingi katika mradi ambao ulikuwa hauna mkataba?

Clip za uzinduzi huo zipo YouTube na ilikuwa covered katika taarifa ya habari TBC.

Kama kweli Mhe.Kikwete alizindua mradi ambao haukuwa na mkataba bado basi Matatizo ya Nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyoelezwa au tunavyofahamu!

Cha kusikitisha ni kuwa viongozi wote hawa wenye ndimi tofauti wanatokana na Chama Cha Mapinduzi!!

Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO?

Kama kuna madudu wahusika wawajibike!! Kwa kweli wananchi mnatuchanganya sana!

Huyu anasema hili, yule anasema kile! CHAMA KIMOJA, SERIKALI MOJA , SCRIPT TOFAUTI.
Mtakoma nzi wa kijani nyie na bado!
 
Tanzania kuna wananchi bana au misukule?!!kwani jpm aliposema mkataba una madudu, mbona hamkuutaka kuuona kama ni kweli alichokuwa akikisema?

Wakati nguvu nyingi zinatumika kuhakikisha kuwa hakuna mpinzani anarudi bungeni mlikuwa mnashangila tu , kuwa wanawachelewesha!!ikiwapendeza hata nchi nzima iuzwe tu!!!
Imefika mahali hapa nchini, huwezi kutofautisha baina ya mtu aliyesoma na yule ambaye hajasoma.
Kuna baadhi ya mambo watu wanayaunga mkono hadi unabaki mdomo wazi na unasikitika tu.
 
Katika watu ambao wasingeanza kutoa matamsha ya kumkebehi jpm ni mawaziri na wabunge wote wa ccm wa sasa maana bila jpm wasingetangazwa kuwa wabunge. Watu kama mwambe jpm aliwatoa jalalani kabisa.
 
Inasikitisha sana!

Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi?

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!

Hayati Rais Magufuli aliyasema hayo mchana kweupe tena bila kumung'unya maneno na makofi mengi akapigiwa !!!! Nadhani hata huyu Waziri Godfrey Mwambe alikuwa kwenye hadhira hiyo kama Boss wa TIC !! Clip zipo YouTube!

Sasa swali kwako Ndugu Waziri Mwambe, umesema hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa!! Je iliwezekanaje Rais wa Awamu ya NNE Mhe. Kikwete kuzindua mradi na kuweka jiwe la msingi katika mradi ambao ulikuwa hauna mkataba?

Clip za uzinduzi huo zipo YouTube na ilikuwa covered katika taarifa ya habari TBC.

Kama kweli Mhe.Kikwete alizindua mradi ambao haukuwa na mkataba bado basi Matatizo ya Nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyoelezwa au tunavyofahamu!

Cha kusikitisha ni kuwa viongozi wote hawa wenye ndimi tofauti wanatokana na Chama Cha Mapinduzi!!

Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO?

Kama kuna madudu wahusika wawajibike!! Kwa kweli wananchi mnatuchanganya sana!

Huyu anasema hili, yule anasema kile! CHAMA KIMOJA, SERIKALI MOJA , SCRIPT TOFAUTI.
Mwendazake alileta uthibitisho?
 
Mwambe mtu mdogo kumlinganisha na aliyekuwa mkuu wa nchi, uwe unatumia akili kidogo.
Mm sitegemei vyeti ili niishi ndugu yangu,naweza kukuajiri ww na ukoo wenu wote.

Kwann unalazimisha Mwambe athibitishe Ila hukutaka Jiwe athibitishe kile alichokisema?

Mbona unakuwa na double standards?
Tatizo lenu mmelishwa sana matango pori hadi uwezo wa kufikiri umeshuka
 
Sasa nani angeingia bungeni kama li CHAMA lenu la kaskazini lilijifia siku makengeza alipobadilisha gia angani mwaka 2015 ?
Hatuna bunge acha kujipa stress, tuna kikundi cha CCM cha Praise & Worship. Kumejaaa waj...ng tupu mle ndani. Huwezi kuwa na mbunge ambaye hakuchaguliwa, huwezi kuwa na Wabunge wa chama kimoja tens chama chenyewe ni CCM!

CHAMA kinachowaza chaguzi tu siku zote, chama kinachotegemea uongo na state apparatuses Ku exist, chama kama hiki hakiwezi kamwe kuwa na Critical thinkers
 
Back
Top Bottom