Hujui uungwana na sheria za mtu kutoka katika nyumba ni mwezi moja mpaka mitatu, sasa yeye kajiuzulu hata wiki haijapita , kwa Sababu kateuliwa waziri na kuwa allocated Nyumba akitaka PAPO kwa PAPO, ndio Muungwana akamwachia , roho mbaya ikamsuta , jamaa alivyokuwa Raisi na Bado akamchagua Raisi. Na aliporudisha akaleta kuliko alivyochukua kutokana na bange ya maketeAlimrudishia kwa sababu alishampa somo la kuhadithia milele na hatarudia tena kusumbua watu majumbani kwao wamtunzie mabati kwenye front yard ya Waziri.
Nitarudia mpaka uelewe: Mwenye chake muungwana.
Mtu akikunyanyasa na mali yake, na nyumba yake, hata akufukuze kama mbwa ni yeye ndio muungwana kwa sababu ana kwake, hasumbui mtu. Wewe unaesumbua watu wakutunze au wakuhifadhie mabati majumbani mwao, wewe ndio sio muungwana.
Mwinyi alijua ni yeye amekosa uungwana ndo maana pamoja na yote hayo bado akamwita awe Waziri kwenye serikali yake.