ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Hadi saa hizi Askofu anaongoza kwa ball possession..Wizara ya afya hao hao waliojenga kibanda cha kupinga nyungu Muhimbili. Hii nchi ni Alfu lela Ulela.
Hadi saa hizi Askofu anaongoza kwa ball possession..Wizara ya afya hao hao waliojenga kibanda cha kupinga nyungu Muhimbili. Hii nchi ni Alfu lela Ulela.
Mkuu hiyo ni inhalation kweli au ni steam therapy? Au mimi ndiye nachanganya madesa?Wajumbe wa Kamati ya Prof Lyamuya iliyochunguza sakata la Matunda kutest postive kwa COVID-19, ndio hao hao waliopendekeza Chanjo. Wakati wa JPM, kila jumatano asubuhi Chuo Cha Muhimbili walikua Wana host Symposium za Nyungu ( Inhalational therapy) na Kama haitoshi, wakaanzisha na jumba la kujifukiza. Leo hii watu hao hao ndio wanaowaona wenzao wanaopinga na kukataa Chanjo Kama washamba.
Nchi hii tuna safari ndefu Sana.
Wizara ya afya hao hao waliojenga kibanda cha kupinga nyungu Muhimbili. Hii nchi ni Alfu lela Ulela.
Sema, ya Abunuwasi. Kutaka kujenga gorofa mbingu I.Wizara ya afya hao hao waliojenga kibanda cha kupinga nyungu Muhimbili. Hii nchi ni Alfu lela Ulela.
The terms can be used interchangeably, japo Medical terminology ni Inhalational.Mkuu hiyo ni inhalation kweli au ni steam therapy? Au mimi ndiye nachanganya madesa?
NDIO MAANA TUNATAKA KATIBA MPYAWizara ya afya hao hao waliojenga kibanda cha kupinga nyungu Muhimbili. Hii nchi ni Alfu lela Ulela.
hahaNDUGULILE ATUNUKIWA TUZO NA WIZARA YA AFYA
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt Faustine Ndugulile (Mb) leo tarehe 23.08.2021 ametunukiwa tuzo na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kutambua mchango wake katika kukuza na kuimarisha ya Afya Jamii nchini. Tuzo imetolewa katika mkutano wa wataalam wa elimu ya Afya kwa Umma unaoendelea kwenye ukumbi wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
Naye Dkt Ndugulile kupitia mitandao ya jamii amewashukuru sana Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa heshima waliyompa na pia kwa kutambua mchango wake kwenye elimu ya afya kwa umma nchini.
Aidha, wametaka wataalamu wa Afya ya Umma kuongeza kasi na wigo wa elimu ya Afya kwa Umma hususan katika kipindi hiki ambacho Tanzania inakabiliwa na ugonjwa wa Covid-19.
View attachment 1905092
Ametunukiwa na taasisi gani?Nadhani ndio mwelekeo!
Kama wizara imemtunuku cheti maana yake wanakubaliana na maneno ya Askofu Gwajima.Aliyekuwa naibu Waziri wa afya katika Serikali ya awamu ya 5 na ambaye kwa sasa ni waziri wa Tehama Dr. Ndugulile ametunukiwa Tuzo ya umahiri na kupromoti afya na wizara ya afya.
Dr. Ndugulile ndiye aliyetoa tahadhari juu ya kupiga nyungu kienyeji hatua iliyopelekea atumbuliwe.
Jana Askofu Gwajima alimpongeza Dr Ndugulile kwa ujasiri aliouonyesha na kusimamia taaluma hadi akapoteza uwaziri.
Mungu ni mwema wakati wote!
Joke of the centuryAliyekuwa naibu Waziri wa afya katika Serikali ya awamu ya 5 na ambaye kwa sasa ni waziri wa Tehama Dr. Ndugulile ametunukiwa Tuzo ya umahiri na kupromoti afya na wizara ya afya.
Dr. Ndugulile ndiye aliyetoa tahadhari juu ya kupiga nyungu kienyeji hatua iliyopelekea atumbuliwe.
Jana Askofu Gwajima alimpongeza Dr Ndugulile kwa ujasiri aliouonyesha na kusimamia taaluma hadi akapoteza uwaziri.
Mungu ni mwema wakati wote!
Lakini huyo Magufuli ndo alimuwezesha kushinda kura za maoni Kigamboni. Bila Jiwe Bashite the witch angechukuwa jimbowhich health promotion services... ngoja Magfuli aje mtamueleza mmempa kwa vigezo vipi wakati yeye alimfukuza huko wizarani
Pamoja na yote hayo mimi nitashangaa sana kama uteuzi wa Dk Dorothy utatenguliwa, ... Dk Dorothy ameimudu wizara ipaswavyo kwenye kipindi cha hii CRISIS!
Wizara ya afya!Ametunukiwa na taasisi gani?