Waziri Dr. Kalemani anapaswa kutoa taarifa kwa umma kuhusu shambulizi la Mh.Lissu. CCTV camera ilirekodi tukio?

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,268
54,660
..Waziri wa Nishati Dr.Kalemani ni jirani na Mh.Tundu Lissu ktk makazi ya viongozi Area D Dodoma ambako shambulizi lilitokea.

..Watu mbalimbali wameeleza kwamba Dr.Kalemani ameweka CCTV cameras nyumbani kwake. Na cameras hizo zimeelekezwa eneo aliposhambuliwa Mh.Lissu.

..Sasa ingependeza kama Dr.Kalemani angejitokeza mbele ya umma na kueleza kilichomo ktk rekodi za camera.

..Lakini pia kuna ulazima wa camera hizo kukaguliwa na chombo huru ili kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kutokea kutokana na maelezo ya Dr.Kalemani.

..Majirani wengine nao wanapaswa kujitokeza na kueleza waliona na kusikia nini kabla, siku ya tukio, na baada ya tukio.

..Baadhi ya majirani ni Dr.Tulia Ackson, Dr.Haji Mponda, na Katibu Mkuu wa wizara ambaye jina lake Mh.Lissu alishindwa kulikumbuka.

Cc MISULI, BAK
 
Mh! Makubwa haya! Ahsante sana JokaKuu kunitag kwenye huu uzi. Naona ndiyo sababu Serikali hii dhalimu ikawa mbogo sana kwenye kuruhusu FBI au Scotland Yard kuingia nchini kufanya uchunguzi.

Mwenyezi Mungu kweli hamtupi mja wake.

..Waziri wa Nishati Dr.Kalemani ni jirani na Mh.Tundu Lissu ktk makazi ya viongozi Area D Dodoma ambako shambulizi lilitokea.

..Watu mbalimbali wameeleza kwamba Dr.Kalemani ameweka CCTV cameras nyumbani kwake. Na cameras hizo zimeelekezwa eneo aliposhambuliwa Mh.Lissu.

..Sasa ingependeza kama Dr.Kalemani angejitokeza mbele ya umma na kueleza kilichomo ktk rekodi za camera.

..Lakini pia kuna ulazima wa camera hizo kukaguliwa na chombo huru ili kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kutokea kutokana na maelezo ya Dr.Kalemani.

..Majirani wengine nao wanapaswa kujitokeza na kueleza waliona na kusikia nini kabla, siku ya tukio, na baada ya tukio.

..Baadhi ya majirani ni Dr.Tulia Ackson, Dr.Haji Mponda, na Katibu Mkuu wa wizara ambaye jina lake Mh.Lissu alishindwa kulikumbuka.

Cc MISULI, BAK
 
Ndiyo maana familia ya Tundu Lissu na chama cha Chadema wanasisitiza kuwa ni muhimu wakaja wapelelezi toka nje.

Sasa kama CCM wanadai ni Chadema wamefanya lile tukio na Chadema wanasema ni vyombo vya serikali vilivyotekeleza suala lile.

Kukata mzizi wa fitina ni kuleta wapelelezi toka nje.

Sasa kwa nini serikali ya awamu ya 5 inashikwa na kigugumizi kuwaleta wachunguzi toka nje??

Siyo kuwa wanavipuuza vyombo vya ndani.....

Ila vyombo vya ndani vinafanya kazi ya maelekezo toka juu.....

Kuna "killing squad" ndani ya vyombo vya usalama vya Taifa ambavyo havitakiwi kuhojiwa!
 
..Waziri wa Nishati Dr.Kalemani ni jirani na Mh.Tundu Lissu ktk makazi ya viongozi Area D Dodoma ambako shambulizi lilitokea.

..Watu mbalimbali wameeleza kwamba Dr.Kalemani ameweka CCTV cameras nyumbani kwake. Na cameras hizo zimeelekezwa eneo aliposhambuliwa Mh.Lissu.

..Sasa ingependeza kama Dr.Kalemani angejitokeza mbele ya umma na kueleza kilichomo ktk rekodi za camera.

..Lakini pia kuna ulazima wa camera hizo kukaguliwa na chombo huru ili kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kutokea kutokana na maelezo ya Dr.Kalemani.

..Majirani wengine nao wanapaswa kujitokeza na kueleza waliona na kusikia nini kabla, siku ya tukio, na baada ya tukio.

..Baadhi ya majirani ni Dr.Tulia Ackson, Dr.Haji Mponda, na Katibu Mkuu wa wizara ambaye jina lake Mh.Lissu alishindwa kulikumbuka.

Cc MISULI, BAK
Je unafahamu Kalemani ni mbunge wa jimbo gani ?
 
Kwnn Awe Kalimani Na Asiwe Igp Au Rpc Au Mwigulu Au Spika?Kuna Ukakasi Gani Kwnye Hili Tukio?

..kwasababu cctv camera ilikuwa installed ktk nyumba ya Dr.Kalemani.

..Kwa maana hiyo ni mali yake na yeye ndiye mwenye mamlaka ya kujua kilichomo ktk kumbukumbu za camera hizo.

..Hebu jiulize ingekuwa wewe ndiyo Dr.Kalemani, je baada ya tukio kama lile kutokea nje ya nyumba yako hutakuwa na interest ya kwenda kuangalia kama camera zako zilirekodi?

..Sasa ni vizuri kufahamu Dr.Kalemani aliona nini, na alimtaarifu nani. Na alitoa taarifa hizo lini.
 
..kwasababu cctv camera ilikuwa installed ktk nyumba ya Dr.Kalemani.

..Kwa maana hiyo ni mali yake na yeye ndiye mwenye mamlaka ya kujua kilichomo ktk kumbukumbu za camera hizo.

..Hebu jiulize ingekuwa wewe ndiyo Dr.Kalemani, je baada ya tukio kama lile kutokea nje ya nyumba yako hutakuwa na interest ya kwenda kuangalia kama camera zako zilirekodi?

..Sasa ni vizuri kufahamu Dr.Kalemani aliona nini, na alimtaarifu nani. Na alitoa taarifa hizo lini.
Kuna wapumbavu bado wanamsubiria Dereva wakituaminisha ndie shahidi pekee! Tanzania hii inatapisha kwa kweli
 
..Waziri wa Nishati Dr.Kalemani ni jirani na Mh.Tundu Lissu ktk makazi ya viongozi Area D Dodoma ambako shambulizi lilitokea.

..Watu mbalimbali wameeleza kwamba Dr.Kalemani ameweka CCTV cameras nyumbani kwake. Na cameras hizo zimeelekezwa eneo aliposhambuliwa Mh.Lissu.

..Sasa ingependeza kama Dr.Kalemani angejitokeza mbele ya umma na kueleza kilichomo ktk rekodi za camera.

..Lakini pia kuna ulazima wa camera hizo kukaguliwa na chombo huru ili kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kutokea kutokana na maelezo ya Dr.Kalemani.

..Majirani wengine nao wanapaswa kujitokeza na kueleza waliona na kusikia nini kabla, siku ya tukio, na baada ya tukio.

..Baadhi ya majirani ni Dr.Tulia Ackson, Dr.Haji Mponda, na Katibu Mkuu wa wizara ambaye jina lake Mh.Lissu alishindwa kulikumbuka.

Cc MISULI, BAK
Ulinzi unalipiwa na nani? Kama ni wa serkali utakuwa na masharti yake, hautawajibika kwa majirani. Hivi kwa nini CHADEMA hawakumpa ulinzi Mnadhimu wake Mkuu? Au walimpa hela akazila? Umemtaka Waziri Kalimani "ajitolee": hii inategemea mahusiano. Je, walikuwa wanaamkuana asubuhi? Wanatembeleana Iddi? Watoto wanacheza goroli pamoja? Lissu kamtukana Kalimani matusi ya nguoni mara nyingi tu kuwa ni jambazi wa mikataba mibovu, kapewa kazi tu na Rais mtoto wa Dada lakini hafai, nk. Na Spika Tulia anatukanwa hivyo hivyo. Je ni sawa mtu kama huyu kujitolea? Mwisho kabisa hatujajua wahusika ni nani hasa? Dereva yuko wapi? Au ni inside job ndani ya CHADEMA?Mlinzi kafichwa wapi na na nani na aliponaje? Au ni majambazi wa kawaida au wamenunuliwa na maadui za Lissu kwenye kesi za mahakama? Au wachimba madini waliopunjwa?
 
Ulinzi unalipiwa na nani? Kama ni wa serkali utakuwa na masharti yake, hautawajibika kwa majirani. Hivi kwa nini CHADEMA hawakumpa ulinzi Mnadhimu wake Mkuu? Au walimpa hela akazila? Umemtaka Waziri Kalimani "ajitolee": hii inategemea mahusiano. Je, walikuwa wanaamkuana asubuhi? Wanatembeleana Iddi? Watoto wanacheza goroli pamoja? Lissu kamtukana Kalimani matusi ya nguoni mara nyingi tu kuwa ni jambazi wa mikataba mibovu, kapewa kazi tu na Rais mtoto wa Dada lakini hafai, nk. Na Spika Tulia anatukanwa hivyo hivyo. Je ni sawa mtu kama huyu kujitolea? Mwisho kabisa hatujajua wahusika ni nani hasa? Dereva yuko wapi? Au ni inside job ndani ya CHADEMA?Mlinzi kafichwa wapi na na nani na aliponaje? Au ni majambazi wa kawaida au wamenunuliwa na maadui za Lissu kwenye kesi za mahakama? Au wachimba madini waliopunjwa?

..nakuunga mkono 100%.

..sasa kwasababu umedai TL alikuwa akimtukana Dr.Kalemani matusi ya nguoni, huoni kwamba itapendeza kama Dr.Kalemani atajitokeza na ushahidi ulioko kwenye CCTV ili kumuumbua[pay back] TL, dereva wake, na chadema kwa ujumla?
 
..Waziri wa Nishati Dr.Kalemani ni jirani na Mh.Tundu Lissu ktk makazi ya viongozi Area D Dodoma ambako shambulizi lilitokea.

..Watu mbalimbali wameeleza kwamba Dr.Kalemani ameweka CCTV cameras nyumbani kwake. Na cameras hizo zimeelekezwa eneo aliposhambuliwa Mh.Lissu.

..Sasa ingependeza kama Dr.Kalemani angejitokeza mbele ya umma na kueleza kilichomo ktk rekodi za camera.

..Lakini pia kuna ulazima wa camera hizo kukaguliwa na chombo huru ili kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kutokea kutokana na maelezo ya Dr.Kalemani.

..Majirani wengine nao wanapaswa kujitokeza na kueleza waliona na kusikia nini kabla, siku ya tukio, na baada ya tukio.

..Baadhi ya majirani ni Dr.Tulia Ackson, Dr.Haji Mponda, na Katibu Mkuu wa wizara ambaye jina lake Mh.Lissu alishindwa kulikumbuka.

Cc MISULI, BAK
Pole sana, kwa sababu CCTV hizo ni personal za Kalemani, siku hiyo
  1. Very unfortunately hazikuwashwa!, or
  2. Ziliwashwa ila hazikurekodi chochote, or
  3. Zilikuwa on, na zilirekodi kila kitu, ila ndio ilikuwa siku ya ku clear the savers, hivyo tulifuta kila kitu!.
  4. Majirani hawakusikia mlio wa risasi hata moja, kwa sababu walitumia silencer!.
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Paskali
 
Pole sana, kwa sababu CCTV hizo ni personal za Kalemani, siku hiyo
  1. Very unfortunately hazikuwashwa!, or
  2. Ziliwashwa ila hazikurekodi chochote, or
  3. Zilikuwa on, na zilirekodi kila kitu, ila ndio ilikuwa siku ya ku clear the savers, hivyo tulifuta kila kitu!.
  4. Majirani hawakusikia mlio wa risasi hata moja, kwa sababu walitumia silencer!.
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Paskali

..Thanks.

..Majibu yanaweza kuwa kati ya hayo uliyoeleza.

..sasa kwanini hakuna mhusika toka chombo chochote kile anayejitokeza na kutoa majibu?

..Na waandishi wa habari mngekuwa wajanja mngeuliza maswali ya kina kuhusu tukio hili.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom