Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,571
Mkuu Joka Kuu, mambo ya contents za CCTV ya Kalemani ni personal private matters usitake kuibadili kugeuka public matter. It depends ni ujirani wa aina gani, the magnitude ya hizo CCTV na beaming ya hizo camera, kuna camera zinaweza kuonyesha mtaa mzima, kuna camera zinaweza kutelekezwa kwa jirani, na kuna ujirani hata kuisikia mayowe kwa jirani, wewe unajifungia ndani kwako kwa vile hayakuhusu, kama hakuna yoyote aliyesikia hata mlio tuu wa risasi, what are the chances za kujua contents za CCTV za jirani?.Mimi nashangaa WAANDISHI WA HABARI hawajamtafuta Dr.Kalemani na kujua his side of the story.
Cc Pascal Mayalla, maggid, Manyerere Jackton
Shambulizi la Lissu ni criminal offence inayohitaji criminal investigation na sio issue inayohitaji investigative journalism.
Nikakueleze kama kuna mtu wa kuhojiwa, mtu wa kwanza ni Lissu na dereva wake, wengine watafuatia.
Kiukweli kwa issue hii sililaumu jeshi letu la polisi kwa kutomuhoji mtu yoyote mpaka sasa, kwa sababu ambazo nimeisha zieleza hapa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
Paskali