Waziri Dr. Kalemani anapaswa kutoa taarifa kwa umma kuhusu shambulizi la Mh.Lissu. CCTV camera ilirekodi tukio?

Pole sana, kwa sababu CCTV hizo ni personal za Kalemani, siku hiyo
  1. Very unfortunately hazikuwashwa!, or
  2. Ziliwashwa ila hazikurekodi chochote, or
  3. Zilikuwa on, na zilirekodi kila kitu, ila ndio ilikuwa siku ya ku clear the savers, hivyo tulifuta kila kitu!.
  4. Majirani hawakusikia mlio wa risasi hata moja, kwa sababu walitumia silencer!.
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Paskali

Na haya yanaweza kuwa pia ni majibu kutoka kwa Kalemani ,umejibu vema na umeng'ata kisawa sawa .Binafsi sitarajii mapya kutoka Serikalini ktk tukio hili la Mh Lissu kushambuliwa,Waziri Mkuu alisha hitimisha kwa kutoa majibu Bungeni yalio onesha msimamo wa Serikali ktk hili.Ukiunganisha na yalio endelea baada ya tukio lile ,nna wasikitikia wale wote wenye Imani na matarajio mema kutoka ktk Serikali hii...

Lissu atalipwa na Mungu tu...
 
huko sasa ni kuingilia mchakato mzima wa upelelezi.

Polisi waachwe wafanye kazi Yao.
 
..Waziri wa Nishati Dr.Kalemani ni jirani na Mh.Tundu Lissu ktk makazi ya viongozi Area D Dodoma ambako shambulizi lilitokea.

..Watu mbalimbali wameeleza kwamba Dr.Kalemani ameweka CCTV cameras nyumbani kwake. Na cameras hizo zimeelekezwa eneo aliposhambuliwa Mh.Lissu.

..Sasa ingependeza kama Dr.Kalemani angejitokeza mbele ya umma na kueleza kilichomo ktk rekodi za camera.

..Lakini pia kuna ulazima wa camera hizo kukaguliwa na chombo huru ili kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kutokea kutokana na maelezo ya Dr.Kalemani.

..Majirani wengine nao wanapaswa kujitokeza na kueleza waliona na kusikia nini kabla, siku ya tukio, na baada ya tukio.

..Baadhi ya majirani ni Dr.Tulia Ackson, Dr.Haji Mponda, na Katibu Mkuu wa wizara ambaye jina lake Mh.Lissu alishindwa kulikumbuka.

Cc MISULI, BAK

Mkuu kweli una imani ya “kuhamisha milima”. Yaani unatarajia hizo camera za cctv zitakuwa zimetulia kama zilivyokuwa ilhali zina nasaba na watu wasiojulikana? Au ndio kuwa desperate katika shauku ya kutaka jibu la haraka.
 
..Thanks.
..Na waandishi wa habari mngekuwa wajanja mngeuliza maswali ya kina kuhusu tukio hili.
Kwa vile kukitokea tukio, watu wa kwanza kabisa kuulizwa maswali ni the witnesses, hivyo tunamsubiri Lissu na dereva wake waje, ndipo sisi waandishi makini, tuanze kuuliza maswali.

Paskali
 
..Waziri wa Nishati Dr.Kalemani ni jirani na Mh.Tundu Lissu ktk makazi ya viongozi Area D Dodoma ambako shambulizi lilitokea.

..Watu mbalimbali wameeleza kwamba Dr.Kalemani ameweka CCTV cameras nyumbani kwake. Na cameras hizo zimeelekezwa eneo aliposhambuliwa Mh.Lissu.

..Sasa ingependeza kama Dr.Kalemani angejitokeza mbele ya umma na kueleza kilichomo ktk rekodi za camera.

..Lakini pia kuna ulazima wa camera hizo kukaguliwa na chombo huru ili kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kutokea kutokana na maelezo ya Dr.Kalemani.

..Majirani wengine nao wanapaswa kujitokeza na kueleza waliona na kusikia nini kabla, siku ya tukio, na baada ya tukio.

..Baadhi ya majirani ni Dr.Tulia Ackson, Dr.Haji Mponda, na Katibu Mkuu wa wizara ambaye jina lake Mh.Lissu alishindwa kulikumbuka.

Cc MISULI, BAK
Tuache hayo yote ,Tiachane na itikadi za kisiasa,Kama ni Jirani mwema ,hivi Dk Kelemani ameshenda kumuona jirani yake huko Nairobi nilitaka kufahamu hayo maana kuna ujirani mwema.
 
Tuache hayo yote ,Tiachane na itikadi za kisiasa,Kama ni Jirani mwema ,hivi Dk Kelemani ameshenda kumuona jirani yake huko Nairobi nilitaka kufahamu hayo maana kuna ujirani mwema.

..anawezs kuwa amempigia simu, amemchangia, etc.

..lakini ni vema ukaujulisha umma kuhusu kilichomo ktk CCTV cameras zake.

..kwasababu, kibinadamu kama una CCTV camera na umezielekeza tukio lililotokea uhalifu tena kwa mtu unayemjua basi lazima utakuwa na shauku kujua nini kimerokodiwa.

..kwa hiyo mimi nashangaa WAANDISHI WA HABARI hawajamtafuta Dr.Kalemani na kujua his side of the story.

Cc Pascal Mayalla, maggid, Manyerere Jackton
 
Naomba kuuliza,

anayesema waje wapelelezi wa nje, kwa kigezo kipi?


Tukumbuke hili si kama tukio la kuungua BOT

..huoni kama wapelelezi wetu wameshindwa?

..sasa ni miezi zaidi ya miwili na hawajaweza hata kusema wanamtafuta mtuhumiwa yeyote.

..hili ni tukio kubwa na limechafua taswira ya nchi yetu na kuleta sintofahamu lakini wapelelezi wetu hawatoi matumaini yoyote ya kuwatia mkononi watu waliojaribu kumuua Tundu Lissu.
 
..Waziri wa Nishati Dr.Kalemani ni jirani na Mh.Tundu Lissu ktk makazi ya viongozi Area D Dodoma ambako shambulizi lilitokea.

..Watu mbalimbali wameeleza kwamba Dr.Kalemani ameweka CCTV cameras nyumbani kwake. Na cameras hizo zimeelekezwa eneo aliposhambuliwa Mh.Lissu.

..Sasa ingependeza kama Dr.Kalemani angejitokeza mbele ya umma na kueleza kilichomo ktk rekodi za camera.

..Lakini pia kuna ulazima wa camera hizo kukaguliwa na chombo huru ili kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kutokea kutokana na maelezo ya Dr.Kalemani.

..Majirani wengine nao wanapaswa kujitokeza na kueleza waliona na kusikia nini kabla, siku ya tukio, na baada ya tukio.

..Baadhi ya majirani ni Dr.Tulia Ackson, Dr.Haji Mponda, na Katibu Mkuu wa wizara ambaye jina lake Mh.Lissu alishindwa kulikumbuka.

Cc MISULI, BAK


Waziri wetu hatoi chochote, amua sasa!
 
..huoni kama wapelelezi wetu wameshindwa?

..sasa ni miezi zaidi ya miwili na hawajaweza hata kusema wanamtafuta mtuhumiwa yeyote.

..hili ni tukio kubwa na limechafua taswira ya nchi yetu na kuleta sintofahamu lakini wapelelezi wetu hawatoi matumaini yoyote ya kuwatia mkononi watu waliojaribu kumuua Tundu Lissu.
Nani kasema wameshindwa kazi, shahidi namba moja aliyekuwa eneo la tukio kafichwa. Yupo wapi dereva? Tukumbuke kamera haziwezi kutosheleza, niseme tu Chadema ndiyo wamekwamisha upelelezi
 
Nani kasema wameshindwa kazi, shahidi namba moja aliyekuwa eneo la tukio kafichwa. Yupo wapi dereva? Tukumbuke kamera haziwezi kutosheleza, niseme tu Chadema ndiyo wamekwamisha upelelezi

..ama wameshindwa, au hawana nia ya kuchunguza.

..TL na dereva wako Nairobi. Sasa ni nini kinawakwaza polisi wasiende kuwahoji?

..Zaidi ni CCTV camera ya Dr.Kalemani. Kama ilikuwa ikifanya kazi basi kuna uwezekano mkubwa wauaji wanaweza kutambulika.

..Kwa hiyo tusijifunge kwenye imani kwamba bila dereva uchunguzi hauwezi kufanyika.
 
Kabla ya kufikiri juu ya Dr.kutoa taarifa ya CCTV camera yafaa kujiuliza je Huyo Dr.alienda Nairobi kumuona Lissu? Kama alienda ilichukuwa muda gani kwenda Mara baada ya Lisu kulazwa Nairobi?Na kama hakwenda ni kwanini?wakati yeye ni jirani yake?Hivyo basi kama hakwenda pia hatoweza kutoa ushirikiano wa CCTV camera,maana kuna zaidi ya hapoooo.
 
Back
Top Bottom