MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Tena leo nakusema (nakuchana) Mubashara na kwa Uhuru kabisa kwakuwa Wewe upande wa Kabila na Mkoa ni Mtani wangu (Nyiramba na Nyaturu) na hata katika Medani za Soka la Tanzania pia ni Mtani Wewe ukiwa Yanga SC na Mimi nikiwa Simba SC.
Kwanza nikuambie tu Mtani wangu Mwigulu kuwa Kibinadamu hakuna aliyefurahia kilichotokea na kuna wakati hata Sisi ' aliotukwaza ' tulisikitika na kutoka ' tumachozi ' pia japo 'tudogo tudogo' sana.
Ila Mtani Mwigulu kinachotuuma Watanzania wachache tunaojielewa ' Upstairs ' acha wale wengi Wasiojielewa ambao waliguswa nae mno ni kwamba 'Jamaa' yako alitengeneza 'Bomu' kubwa ndani ya Taifa letu ambalo nina uhakika kwa ule mwendo wake tu ipo Siku lingelipuka na hata pia ' Kukudhuru ' na Wewe.
Yaani Mtani wangu Mwigulu Nchemba pamoja na hiyo 'Doctorate' yako na Akili zako kubwa ( nyingi ) za ' Kinyiramba / Kinyaturu ' umeshindwa tu kujua kuwa ' Jamaa ' alikuwa anatupeleka ' Kuzimu ' kabisa?
Kwahiyo Mtani wangu Mwigulu ukijengewa Barabara, Madaraja, treni ya Umeme, Bwawa la Umeme, kununuliwa Ndege, Vivuko na Masikini Kubatizwa Jina la Wanyonge ndiyo ' Legacy ' pekee ambayo utaiacha kwa Watanzania na hata Ukifa ( Ukifariki ) utataka ukumbukwe nayo?
Mtani wangu Mwigulu hivi umeshajiuliza tu Swali dogo kwamba kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hakufanya mengi ya huyu ' Jamaa ' yako lakini haliliwi tu na Sisi Watanzania bali mpaka leo hata Watu wengine wa Mataifa mengi Ulimwenguni wanamlilia ( japo Washamba Wanyiramba na Wanyaturu ) wa Singida walipenda atokee Kwao ila bahati nzuri katokea Mkoa wa Mashujaa tupu wa Mara?
Ina maana Mtani ' Jamaa ' alivyoharibu ' Mifumo ' mingi, kuachia Vitendo vya ' Kikatili ' kutokea, Kuibaka kwa Nguvu Demokrasia ya Tanzania, Kuminya kwa Makusudi na Kuvichukia Vyombo vya Habari, kutengeneza Kundi la ' Wanaofaidika ' wachache, kutumia Pesa za Kujenga Kwao ambazo hazikuwa ' audited ' na CAG, kutisha ' Critics ' wake, Kukomoa, kuwa na Visasi vya Kipuuzi na Kuuharibu kabisa Uchumi wa Mtanzania Mmoja Mmoja Kwako Wewe ni sawa?
Tena Mtani Mwigulu nasikia nawe una Ndoto za kuja kuwa Rais wa Tanzania. Nakuombea Kheri ufanikiwe ila na Wewe ukiupata na kuja Kutuongoza ' hovyo ' kama huyo ' Jamaa ' yako (yenu) Mimi Mtani wako mkubwa Generalist ndiyo nitakuwa wa Kwanza kukuombea ' mabaya ' ili ' ufe ' kabisa na tukienda Kukuzika kule ' Unyirambani / Unyaturuni' kila Siku tuwe tunalipiga tu Mawe Kaburi lako.
Uwe na Kazi njema Mtani wangu MLN.
Kwanza nikuambie tu Mtani wangu Mwigulu kuwa Kibinadamu hakuna aliyefurahia kilichotokea na kuna wakati hata Sisi ' aliotukwaza ' tulisikitika na kutoka ' tumachozi ' pia japo 'tudogo tudogo' sana.
Ila Mtani Mwigulu kinachotuuma Watanzania wachache tunaojielewa ' Upstairs ' acha wale wengi Wasiojielewa ambao waliguswa nae mno ni kwamba 'Jamaa' yako alitengeneza 'Bomu' kubwa ndani ya Taifa letu ambalo nina uhakika kwa ule mwendo wake tu ipo Siku lingelipuka na hata pia ' Kukudhuru ' na Wewe.
Yaani Mtani wangu Mwigulu Nchemba pamoja na hiyo 'Doctorate' yako na Akili zako kubwa ( nyingi ) za ' Kinyiramba / Kinyaturu ' umeshindwa tu kujua kuwa ' Jamaa ' alikuwa anatupeleka ' Kuzimu ' kabisa?
Kwahiyo Mtani wangu Mwigulu ukijengewa Barabara, Madaraja, treni ya Umeme, Bwawa la Umeme, kununuliwa Ndege, Vivuko na Masikini Kubatizwa Jina la Wanyonge ndiyo ' Legacy ' pekee ambayo utaiacha kwa Watanzania na hata Ukifa ( Ukifariki ) utataka ukumbukwe nayo?
Mtani wangu Mwigulu hivi umeshajiuliza tu Swali dogo kwamba kwanini Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hakufanya mengi ya huyu ' Jamaa ' yako lakini haliliwi tu na Sisi Watanzania bali mpaka leo hata Watu wengine wa Mataifa mengi Ulimwenguni wanamlilia ( japo Washamba Wanyiramba na Wanyaturu ) wa Singida walipenda atokee Kwao ila bahati nzuri katokea Mkoa wa Mashujaa tupu wa Mara?
Ina maana Mtani ' Jamaa ' alivyoharibu ' Mifumo ' mingi, kuachia Vitendo vya ' Kikatili ' kutokea, Kuibaka kwa Nguvu Demokrasia ya Tanzania, Kuminya kwa Makusudi na Kuvichukia Vyombo vya Habari, kutengeneza Kundi la ' Wanaofaidika ' wachache, kutumia Pesa za Kujenga Kwao ambazo hazikuwa ' audited ' na CAG, kutisha ' Critics ' wake, Kukomoa, kuwa na Visasi vya Kipuuzi na Kuuharibu kabisa Uchumi wa Mtanzania Mmoja Mmoja Kwako Wewe ni sawa?
Tena Mtani Mwigulu nasikia nawe una Ndoto za kuja kuwa Rais wa Tanzania. Nakuombea Kheri ufanikiwe ila na Wewe ukiupata na kuja Kutuongoza ' hovyo ' kama huyo ' Jamaa ' yako (yenu) Mimi Mtani wako mkubwa Generalist ndiyo nitakuwa wa Kwanza kukuombea ' mabaya ' ili ' ufe ' kabisa na tukienda Kukuzika kule ' Unyirambani / Unyaturuni' kila Siku tuwe tunalipiga tu Mawe Kaburi lako.
Uwe na Kazi njema Mtani wangu MLN.