Waziri dk chami watanzania sio wajinga kihivyo!!!kubali yaishe ama ukae kimya

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Wapendwa majuzi tumeona kwenye gazeti kuna vigogo kama kumi wamejilimbikizia vitalu vya kuvuna mbao uko sao hill kichekesho kila mtu ukimuuliza anasema alichukua kwa ajili ya kuvuna mbao za shule zake jimboni..wakati hayio yakiendelea baadhi hata shule moja ukiuliza jimboni zinaitwaje awazijui lakini wanakomaa na mradi wa shule..hiiiii niiiiiiiiiiii laaaaaaaaaaaaaannaaaaaaaaaa jamani wale watoto wanakaa chini mnafikiri wakilia kwa MUNGU wao atawaaacha nyie..haya sina la zaidi

Kichekesho kaja huyu mwingine anadai ati wanamsingizia yeye alichukua kwa ajili ya shule lakini ukisoma gazeti utaona walichukua alafu wakakodisha kwa wafanyabiashara huu ni utapeli mkubwa DK CHAMI KAA CHINI UNYAMAZE USISHINDANE NA USHAHIDI WA MUNGU

KAMA ULIKUWA NA NIA HIYO UNASEMA UKASHINDWA KULIPIA KODI UKAAMUA KUWAPA WAENDELEE WENGINE HAO WENGINE NI NANI SI NDIO HAO WAFANYABIASHARA TUNAOLALAMAIKIA MNAFANYA MITAJI HIVYO VYEO VYENU LAANA HIZI MTAPELEKA WAPI NYIE MAWAZIRI ..NILIMUONA NA CELINA KOMBAN NA WENGINE WENGI MUNGAI,,,JOSEPF..NK
 
Mhhh kazi tunayo
Na kwenye file lake tume ya maadili investment hiyo kaiweka?
 
Wapendwa majuzi tumeona kwenye gazeti kuna vigogo kama kumi wamejilimbikizia vitalu vya kuvuna mbao uko sao hill kichekesho kila mtu ukimuuliza anasema alichukua kwa ajili ya kuvuna mbao za shule zake jimboni..wakati hayio yakiendelea baadhi hata shule moja ukiuliza jimboni zinaitwaje awazijui lakini wanakomaa na mradi wa shule..hiiiii niiiiiiiiiiii laaaaaaaaaaaaaannaaaaaaaaaa jamani wale watoto wanakaa chini mnafikiri wakilia kwa MUNGU wao atawaaacha nyie..haya sina la zaidi

Kichekesho kaja huyu mwingine anadai ati wanamsingizia yeye alichukua kwa ajili ya shule lakini ukisoma gazeti utaona walichukua alafu wakakodisha kwa wafanyabiashara huu ni utapeli mkubwa DK CHAMI KAA CHINI UNYAMAZE USISHINDANE NA USHAHIDI WA MUNGU

KAMA ULIKUWA NA NIA HIYO UNASEMA UKASHINDWA KULIPIA KODI UKAAMUA KUWAPA WAENDELEE WENGINE HAO WENGINE NI NANI SI NDIO HAO WAFANYABIASHARA TUNAOLALAMAIKIA MNAFANYA MITAJI HIVYO VYEO VYENU LAANA HIZI MTAPELEKA WAPI NYIE MAWAZIRI ..NILIMUONA NA CELINA KOMBAN NA WENGINE WENGI MUNGAI,,,JOSEPF..NK
dUH KAMA NDIO HIVYO BASI ANAREJESHA KALE KAMCHANGO KAKE ALIKOKATOA KWENYE KAMPENI ZA jk. Hivi huyu mkaka si ndo mwenye ile Hotel pla mrogoro inaitwa ToP laif, tena jiwe la msingi linaonyesha alifungua yeye mwenyewe. Ama kweli cha Mgema huliwa na mlevi
 
Tanzania ya leo, ni tofauti na ya zamani. Sasa hivi wanazungumza na kudai haki zao. Angalia vizuri mh.
 
Anafikiri watanzania ni wale wa kina nyerere tumeamka sasa maskini tajiri wote wanataka aki zao...hawa vongozi nashangaa sana tatizo moja wamechanga kwenye mgao wa jk kuingia madaraani ndio maana haya makelele jk ayasikii ipo siku tutamlazimisha
 
Anafikiri watanzania ni wale wa kina nyerere tumeamka sasa maskini tajiri wote wanataka aki zao...hawa vongozi nashangaa sana tatizo moja wamechanga kwenye mgao wa jk kuingia madaraani ndio maana haya makelele jk ayasikii ipo siku tutamlazimisha
Hapo kwenye red mkuu. Nafikiri bado sana Watanzania hatujaamka in fact tumekufa mtu aliyekufa hawezi kutetea/kudai haki yake. Tu wazuri wa kuongea kuliko matendo.
 
Wapendwa majuzi tumeona kwenye gazeti kuna vigogo kama kumi wamejilimbikizia vitalu vya kuvuna mbao uko sao hill kichekesho kila mtu ukimuuliza anasema alichukua kwa ajili ya kuvuna mbao za shule zake jimboni..wakati hayio yakiendelea baadhi hata shule moja ukiuliza jimboni zinaitwaje awazijui lakini wanakomaa na mradi wa shule..hiiiii niiiiiiiiiiii laaaaaaaaaaaaaannaaaaaaaaaa jamani wale watoto wanakaa chini mnafikiri wakilia kwa MUNGU wao atawaaacha nyie..haya sina la zaidi

Kichekesho kaja huyu mwingine anadai ati wanamsingizia yeye alichukua kwa ajili ya shule lakini ukisoma gazeti utaona walichukua alafu wakakodisha kwa wafanyabiashara huu ni utapeli mkubwa DK CHAMI KAA CHINI UNYAMAZE USISHINDANE NA USHAHIDI WA MUNGU

KAMA ULIKUWA NA NIA HIYO UNASEMA UKASHINDWA KULIPIA KODI UKAAMUA KUWAPA WAENDELEE WENGINE HAO WENGINE NI NANI SI NDIO HAO WAFANYABIASHARA TUNAOLALAMAIKIA MNAFANYA MITAJI HIVYO VYEO VYENU LAANA HIZI MTAPELEKA WAPI NYIE MAWAZIRI ..NILIMUONA NA CELINA KOMBAN NA WENGINE WENGI MUNGAI,,,JOSEPF..NK

Neno hilo Mkuu!

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom