Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Wapendwa majuzi tumeona kwenye gazeti kuna vigogo kama kumi wamejilimbikizia vitalu vya kuvuna mbao uko sao hill kichekesho kila mtu ukimuuliza anasema alichukua kwa ajili ya kuvuna mbao za shule zake jimboni..wakati hayio yakiendelea baadhi hata shule moja ukiuliza jimboni zinaitwaje awazijui lakini wanakomaa na mradi wa shule..hiiiii niiiiiiiiiiii laaaaaaaaaaaaaannaaaaaaaaaa jamani wale watoto wanakaa chini mnafikiri wakilia kwa MUNGU wao atawaaacha nyie..haya sina la zaidi
Kichekesho kaja huyu mwingine anadai ati wanamsingizia yeye alichukua kwa ajili ya shule lakini ukisoma gazeti utaona walichukua alafu wakakodisha kwa wafanyabiashara huu ni utapeli mkubwa DK CHAMI KAA CHINI UNYAMAZE USISHINDANE NA USHAHIDI WA MUNGU
KAMA ULIKUWA NA NIA HIYO UNASEMA UKASHINDWA KULIPIA KODI UKAAMUA KUWAPA WAENDELEE WENGINE HAO WENGINE NI NANI SI NDIO HAO WAFANYABIASHARA TUNAOLALAMAIKIA MNAFANYA MITAJI HIVYO VYEO VYENU LAANA HIZI MTAPELEKA WAPI NYIE MAWAZIRI ..NILIMUONA NA CELINA KOMBAN NA WENGINE WENGI MUNGAI,,,JOSEPF..NK
Kichekesho kaja huyu mwingine anadai ati wanamsingizia yeye alichukua kwa ajili ya shule lakini ukisoma gazeti utaona walichukua alafu wakakodisha kwa wafanyabiashara huu ni utapeli mkubwa DK CHAMI KAA CHINI UNYAMAZE USISHINDANE NA USHAHIDI WA MUNGU
KAMA ULIKUWA NA NIA HIYO UNASEMA UKASHINDWA KULIPIA KODI UKAAMUA KUWAPA WAENDELEE WENGINE HAO WENGINE NI NANI SI NDIO HAO WAFANYABIASHARA TUNAOLALAMAIKIA MNAFANYA MITAJI HIVYO VYEO VYENU LAANA HIZI MTAPELEKA WAPI NYIE MAWAZIRI ..NILIMUONA NA CELINA KOMBAN NA WENGINE WENGI MUNGAI,,,JOSEPF..NK