Waziri Charles Kitwanga & Vicky Kamata wanahusika kwenye ufisadi wa kulipwa BOT kwa miaka 6

Status
Not open for further replies.

FRANK UNDERWOOD

Senior Member
Dec 2, 2014
103
37
pic+kitwanga.jpg



Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga. Ambaye amekuwa akilipwa BOT kwa miaka zaidi ya 6 bila kufanya kazi yoyote ile. Tusisahau kuwa ndiye waziri ambaye kazi yake ni nyeti sana lakini pia yumo kweli listi ya Magufuli ya BOT.

Huyu anasema ni ndugu yake Mhehsimiwa Rais Mgufuli hivyo yeye ni "UNTOUCHABLE" na hata kama Rais Magufuli anao ushaidi kuonyesha kuwa ni fisadi hakuna ambacho Mheshimiwa Rais anaweza kumfanya.

Sasa cha kujiuliza ni je Magufuli katika kusafisha kwake ataweza kumsafisha ndugu yake mwenyewe?


vicky.jpg



Mbunge VICKY KAMATA naye yumo kwenye listi ya ufisadi na malipo ya BOT


Hivi Magufuli anasubiri nini kuwawajibisha hawa watu ambao hawana nia nzuri na nchi hii?

======================

Update;

Habari hii imekanushwa,

Wizara ya mambo ya ndani imekanusha habari kuhusiana na Waziri Charles Kitwanga kuhusika. Kwa taarifa zaidi tembelea - Waziri Charles Kitwanga akanusha kuendelea kulipwa mshahara na Benki Kuu (BOT)
 
pic+kitwanga.jpg



Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga. Ambaye amekuwa akilipwa BOT kwa miaka zaidi ya 6 bila kufanya kazi yoyote ile. Tusisahau kuwa ndiye waziri ambaye kazi yake ni nyeti sana lakini pia yumo kweli listi ya Magufuli ya BOT.

Huyu anasema ni ndugu yake Mhehsimiwa Rais Mgufuli hivyo yeye ni "UNTOUCHABLE" na hata kama Rais Magufuli anao ushaidi kuonyesha kuwa ni fisadi hakuna ambacho Mheshimiwa Rais anaweza kumfanya.

Sasa cha kujiuliza ni je Magufuli katika kusafisha kwake ataweza kumsafisha ndugu yake mwenyewe?


vicky.jpg



Mbunge VICKY KAMATA naye yumo kwenye listi ya ufisadi na malipo ya BOT


Hivi Magufuli anasubiri nini kuwawajibisha hawa watu ambao hawana nia nzuri na nchi hii?


anatumbua majipu, wacha amalize waliomsumbua katika uchaguzi hao baadae, swala dogo sana hilo
 
Hatari sana na haya utayasikia Tanzania tu, Mh Magufuli atuthibitishie kwamba yeye ni jasiri wa kupambana na Mafisadi kwa kumpiga Chini huyu Waziri wa Mambo ya Ndani na kuwafungulia kesi mara moja sio blah blah kibao na kuwa Pretender
 
Hatari sana na haya utayasikia Tanzania tu, Mh Magufuli atuthibitishie kwamba yeye ni jasiri wa kupambana na Mafisadi kwa kumpiga Chini huyu Waziri wa Mambo ya Ndani na kuwafungulia kesi mara moja sio blah blah kibao na kuwa Pretender

akifanya hivo, nyerere atafufuka kushangiria hahahaaaaaaaa joke
 
Inawezekana vipi usifanye kazi hapo ulipwe?Magufuli wewe komaa na watumishi wa umma bana mbona umepunguza spidi?Mawaziri ongezeni kasi ya kutumbua?
 
Huku Waziri anatuma Sms flow meter zifunguliwe na kuanza kutumika kwa sababu waziri mkuu ataenda hapo
Kule mwingine na mambo ya kiitaliano na dada mtu
Hapa mwingine kakurupuka kuteaua DG NSSF ...
Mara mwingine alifanya manunuzi ya mafuta sijui zaidi ya bilioni 40 bila kufuata sheria za manunuzi....
Mara mwingine analipwa na BOT kwa kazi hewa ......
Mwingine sijui na mabehewa feki .......Magufuli ana kazi kweli kweli ,Ushauri wangu wa bure nyonga kama kumi hivi ndio utaeleweka na kama unaogopa kutia sahihi ya kunyonga mtu basi ufanyike utaratibu wa namna ya kumfanya mtu wa kujitolea kutia sahihi
 
Yeyote humu yupo karibu na Magu aniunganishe walau hata cleaning BOT niko experience sana

Natanguliza shukrani
 
Status
Not open for further replies.
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom