Mwacheni apumzike. Mambo mengi yamemkuta huyu bwana mdogo.
Kwanza bado mgonjwa,
Pili walivunja nyumba yake huko kibosho na kukomba kila kitu,
Tatu kazushiwa kifo,
Nne kapungua uzito sana,
Tano kafukuzwa uwaziri, na
Sita, fungakazi 2015 Jimbo lake linaenda Chadema.
Kwa madhila yote haya, kidume lazima mchozi umtoke.
Mwacheni apumzike. Mambo mengi yamemkuta huyu bwana mdogo.
Kwanza bado mgonjwa,
Pili walivunja nyumba yake huko kibosho na kukomba kila kitu,
Tatu kazushiwa kifo,
Nne kapungua uzito sana,
Tano kafukuzwa uwaziri, na
Sita, fungakazi 2015 Jimbo lake linaenda Chadema.
Kwa madhila yote haya, kidume lazima mchozi umtoke.
Ndio huwa siwaelewi! Kwa hiyo unakuwa Waziri mwadilifu wakati watu wote chini yako ni wezi, unakaa tu huchukui hatua halafu unalialia hapa! Acha ujinga Chami!
Apumzike kwa amani huko aendako (sijui anaenda wapi)
Apeleke ujuha na unafiki huko,, hivi alipodai kutokuwa na ripoti ambayo kwayo angeutumia kumwajibisha ekelege alikuwa ana maanisha nn, Hivi ni kweli kabisa waziri kudai kuwa hajaona ripoti yenye madudu ya mkurungenzi wa TBS, nauliza wadau ni kweli?
Hivi wakati anatoa kauli hii alikuwa na dhamira ya kweli moyoni mwake....juu kile alichotaka umma wa watanzania umuelewe,,,
Mi naamini kwa dhati kabisa anastahili yote yaliyomkuta,,
Ndio faida ya Ushikaji katika kaziiiiii
From PJN @ Selous Forest
ekelege wala sio mkongwe kwenye system..hakuna mtu mbaya kama yule..kile cheo amekishika baada ya kumuua alie kua akikalie kiti kile ambae alikua ni finance and admin manager na wakongwe wote wa tbs makao makuu wanajua..jamaa mshirikina hakuna mfano na fisadi sana..na bado..atateseka sana na hatokua na mwisho mzuri..kawachinja sana watu pale..muoneni vile vile..sio mtu yule na mungu atamkomesha we ngoja tu!
dongo kubwa kwa nyalandu.
Naona kuna hoja kuhusu dr. Kumchukulia hatua ekelege. Serikali haifanyi kazi kwa maneno inafanya kazi kwa taarifa.
Mbona dr. Chami ameondoka lakini ekelege bado anapeta? Nilidhani waziri mpya angeanza naye.