Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mkuu Nikupateje this is too technical for a common mwananchi like me to comprehend!Umezama sana kwenye hivyo vipimo. Mimi nasubiri tu amri tulichukue ziwa lote.
Kimbunga hadi hapo nakupa tano, kwakuwa mwanajeshi anakuwa tayari kwa kazi 24/7 ni suala la amri tu anaanza kazi.
Vuta subira kido membe ajaribu kutupa karata kwa wanyasa!
Last edited by a moderator: