Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,447
- 8,531
Mleta uzi tena 😀Mshamba sana huyu mleta uzi
Ova
Mleta uzi tena 😀Mshamba sana huyu mleta uzi
Ova
umenena mkuu acha watu wafurahi nchi ngumu sana hiiWanaokunywa wanakuja kukuomba pesa ya kunywea?
Au wanakuomba pesa za kutumia na familia zao?
Acha waburudike nchi ngumu hii mitozo juu, vitu vinapanda bei, usipopombeka unaweza kufa na stress.
Wacha ukuda wewe. Kulewa ni maamuzi ya mtu sio kwa sababu ya wimbo.Huu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Huu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Usimfananishe Genta na makopo ya Lumumba.Mbona kuna harufu kali ya dawa aina ya gentamicin kwenye thread hii.. kuna mtu anaugua?
Hivi unafahamu Bia inatuletea shilingi ngapi kwa mwezi? Unataka tusilipwe mishaharaHuu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Aujitambui nenda kaishi mbinguni.wimbo tu nitakuletea nyegeHuu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Uhuru wa kujieleza mkuu unaruhusu hiloHuu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho.
Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi.
Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
Sorry, nimesema dawa aina ya gentamicin, lakini naona wewe kama unamuongelea mtu..Usimfananishe Genta na makopo ya Lumumba.