Serikali imeshamsaidia ku enforce ulipaji imchangie tena? Mkuu vipi? Kiufupi wenyewe ndio wanatakiwa kuchangia kwa. Kutoa kodi ya mapato.Kwenye hiyo elf 60 mwenye Wimbo wake anapata Nini...au Serikali inamchangia kiasi Gani Nchi inawajinga hii
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Basi waache wawe wanatangaza tuu tuone haaaaHii sheria nayo imekaa ndivyo sivyo si vyombo vyote vya habari vinagenerate income ya kutosha. Hivi what if na wenye vyombo vya habari wakaamua kuwachaji pesa wasanii ili waweze kupiga nyimbo zao...
Na wana haki kudai kama msanii kalipia studio kurecord, kalipia video production kwa nini asilipie distribution channels ambazo ni redio na TVs. Na wakigoma kuna nyimbo za Kenya, SA, Nigeria na nje ya Africa watapiga bila malipo yoyote.
Acheni huu UPUMBAVU wakutaka kuvuna mahali msipopanda Mlimpa Hela yakulipa Studio jinga kabisaSerikali imeshamsaidia ku enforce ulipaji imchangie tena? Mkuu vipi? Kiufupi wenyewe ndio wanatakiwa kuchangia kwa. Kutoa kodi ya mapato.
And that is how it's going to be for sure.Hapa tunarudi zama zile' za hip hop & Rnb za marekani hko na ndombolo za kongo!
Nchi ya hovyo hii hao wasanii wapya nani atawalipa kama sio kutaka wanamziki wakubwa wawe hao hao tuu..
Wewe ndio kima kabisa,waliolilia hizo tozo ni wasanii wenyewe hasa wadogo ambao hawana nguvu Ili wapate jasho lao kupitia Mgao watakaokubaliana kwenye chama Chao.Acheni huu UPUMBAVU wakutaka kuvuna mahali msipopanda Mlimpa Hela yakulipa Studio jinga kabisa
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app