Waziri Bashungwa ushauri wako kwa Wakandarasi hauna mashiko

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,302
24,143
20191213_074734.jpg

Huyu mh. Waziri kijana, mh Bashungwa waziri wa viwanda na biashara naona katoa mpya.

Ati mkandarasi na wazabuni wanatakiwa wakope benki, husussn CRDB , ili watekeleze miradi ya serikali.

Huu ni msimamo hasi katika utekekezsji miradi.
Contractor siyo financier wa miradi ya serikali.
Haiingii akilini ukope , ufanye kazi alafu uishie kutolipwa, kitu ambacho kwa sasa ni kawaida.

Makandarasi wengi walio fanya kazi za serikali wameishia kufilisiwa na benki kutokana na kutolipwa na serikali kwa wakati au kutolipwa kabisa.

Hivyo mh. Bashungwa inaelekea hajui uhalisia wa sekta hii ya ujenzi.
 
View attachment 1291073
Huyu mh. Waziri kijana, mh Bashungwa waziri wa viwanda na biashara naona katoa mpya.

Ati mkandarasi na wazabuni wanatakiwa wakope benki, husussn CRDB , ili watekeleze miradi ya serikali.

Huu ni msimamo hasi katika utekekezsji miradi.
Contractor siyo financier wa miradi ya serikali.
Haiingii akilini ukope , ufanye kazi alafu uishie kutolipwa, kitu ambacho kwa sasa ni kawaida.

Makandarasi wengi walio fanya kazi za serikali wameishia kufilisiwa na benki kutokana na kutolipwa na serikali kwa wakati au kutolipwa kabisa.

Hivyo mh. Bashungwa inaelekea hajui uhalisia wa sekta hii ya ujenzi.
If thats the calibre of thinking ya mawaziri wetu, its safe to assume we have a problem.
 
Back
Top Bottom