Waziri Bashungwa unakwama wapi? Wafanyabiashara wa mafuta hawawezi kuichezea Serikali hivi

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,753
7,075
Sana JF.

Wafanyabiashara ya mafuta ni dhahili kwamba Serikali kuoitia waziri wake pamoja na taasisi yake EWURA wameshindwa kutimiza wajibu wake, Dar sasa haina mafuta, ikitokea la kutokea mji mzima hakuna mafuta. Bagamoyo road yote karibu Sheri nyingi zimegoma kuleta mafuta.

Watanzania wengi wanamaisha mabaya wana mafuta ya kubipu wale wenye robo tank macho yanawatoka Pima maana kila uendapo kituoni unaonyeshwa mikono tu kuwa hawana mafuta.

Hawa jamaa ni wajanja sana, wao wameamua kugoma wafanyakazi wao wapo kazini lakini wanakwambia hakuna mafuta yapata wiki.

Kiburi cha wafanya biashara safari hii kimeiumbua serikali. Kama wanataka bei kufika elfu2000 basis watangaze au Serikali ikubali kuwashindwa watangaze bei watakayo. Ili nao wafanane na wakulima wanavyojitangazia bei Y
 
Hao wafanya biashara wa mafuta ni malofa hawajui mafuta hushuka kila uchwao?hi ni kutokana demand kupungua sasa wanataka wahold mpka lini,wafanye biashara waache uzumbukuku,itafika mahala mafuta yatashuka hadi buku kama sio jero kwa lita subiri corona izae vijukuu
 
Mkuu siyo hapa dar tu leo hii nina rafiki yangu yupo mkoani mtwara anasema amekwama wilaya moja ya mkoa huo hakuna kabisa petrol
 
Mlivyoambiwa na kingunge kuwa Magufuli hakufaa kuwa Raisi bali nyapara ndo muelewe sasa. Tanzania tunarudi tena kipindi cha Nyerere cha bidhaa kuanza kuadimika. Huyo jamaa yenu kafeli kwenye uchumi na anachojua ni kutumia manguvu na si akili.

Huu ndo wakati wa watanzania kufunguka kiakili na kuwapa uongozi wa hii nchi Chadema. Hakuna sehemu duniani vyama vya kijamaa viliwai kufanikiwa. Never
 
Kuna hujuma kwenye mafuta. Nimetembea vituo kibao hakuna mafuta nimekuja kupata Boko magengeni.
Kama Mwijage alifutwa kazi kwa kushindwa issue ya korosho, basi na huyo Bashungwa apigwe chini kwa kushindwa kusimamia tatizo la mafuta.
 
Kwetu bongo hakuna corona
Hao wafanya biashara wa mafuta ni malofa hawajui mafuta hushuka kila uchwao?hi ni kutokana demand kupungua sasa wanataka wahold mpka lini,wafanye biashara waache uzumbukuku,itafika mahala mafuta yatashuka hadi buku kama sio jero kwa lita subiri corona izae vijukuu
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom