mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,753
- 7,075
Sana JF.
Wafanyabiashara ya mafuta ni dhahili kwamba Serikali kuoitia waziri wake pamoja na taasisi yake EWURA wameshindwa kutimiza wajibu wake, Dar sasa haina mafuta, ikitokea la kutokea mji mzima hakuna mafuta. Bagamoyo road yote karibu Sheri nyingi zimegoma kuleta mafuta.
Watanzania wengi wanamaisha mabaya wana mafuta ya kubipu wale wenye robo tank macho yanawatoka Pima maana kila uendapo kituoni unaonyeshwa mikono tu kuwa hawana mafuta.
Hawa jamaa ni wajanja sana, wao wameamua kugoma wafanyakazi wao wapo kazini lakini wanakwambia hakuna mafuta yapata wiki.
Kiburi cha wafanya biashara safari hii kimeiumbua serikali. Kama wanataka bei kufika elfu2000 basis watangaze au Serikali ikubali kuwashindwa watangaze bei watakayo. Ili nao wafanane na wakulima wanavyojitangazia bei Y
Wafanyabiashara ya mafuta ni dhahili kwamba Serikali kuoitia waziri wake pamoja na taasisi yake EWURA wameshindwa kutimiza wajibu wake, Dar sasa haina mafuta, ikitokea la kutokea mji mzima hakuna mafuta. Bagamoyo road yote karibu Sheri nyingi zimegoma kuleta mafuta.
Watanzania wengi wanamaisha mabaya wana mafuta ya kubipu wale wenye robo tank macho yanawatoka Pima maana kila uendapo kituoni unaonyeshwa mikono tu kuwa hawana mafuta.
Hawa jamaa ni wajanja sana, wao wameamua kugoma wafanyakazi wao wapo kazini lakini wanakwambia hakuna mafuta yapata wiki.
Kiburi cha wafanya biashara safari hii kimeiumbua serikali. Kama wanataka bei kufika elfu2000 basis watangaze au Serikali ikubali kuwashindwa watangaze bei watakayo. Ili nao wafanane na wakulima wanavyojitangazia bei Y