Waziri Bashungwa: Tatizo la sukari limekwisha tumepokea tani 20,000 kutoka Uganda wafanyabiashara wazingatie bei elekezi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,447
Waziri wa viwanda na biashara mh Bashungwa amesema tatizo la sukari sasa limekwisha baada ya shehena ya tani 20,000 kupokelewa jijini Mwanza kutokea Uganda.

Bashungwa amewataka wafanyabiashara kuzingatia bei elekezi na atakayekiuka hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Tangu tumzuie na tumuwekee Mizengwe Mfanyabiashara Maarufu wa Sukari Bw.Zakaria, Taifa linataabika kuliko anavyotaabika Zakaria Mwenyewe

Leo hii sie wa kutegemea Sukari ya Wakala wa Mabeberu Uganda?, tuna najisi Ushindi wa 1979

Kunradhi Mwl Nyerere na General Twalipo na Makamanda wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeweka na mzigo wa hiyo shehena ingekuwa poa sana.

Maana hao jamaa kwa maneno tu wako vizuri.
 
Waziri wa viwanda na biashara mh Bashungwa amesema tatizo la sukari sasa limekwisha baada ya shehena ya tani 20,000 kupokelewa jijini Mwanza kutokea Uganda.

Bashungwa amewataka wafanyabiashara kuzingatia bei elekezi na atakayekiuka hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Tani hizo hazitaisha tena?
 
..bila serikali kuwa na hofu dhidi ya CDM tatizo hili lisingetafutiwa ufumbuzi.
 
Kwani tulikua na tatizo la sukari? Au nilisikia vibaya? si walisema juzi bungeni kuwa hakuna uhaba wa sukari? Hii ni ipi au yule waziri hakuwa wa Tanzania??
 
Back
Top Bottom