Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Waziri kijana wa viwanda na biashara baada ya kuteuliwa tu kushika wizara hiyo ,alifanya ziara kwenye mikoa yote inalima korosho ya Lindi na Mtwara, matokeo ya ziara hiyo ni kupata masoko nje ya nchi.
Kitendo cha serikali kupata masoko ya korosho imetafasiliwa kama kukata ngebe za Membe na Nnape ambao ilionekana wanajiimalisha mikoa ya kusini kupitia korosho iliyonunuliwa na serikali kukosa soko duniani, hivyo kuwafanya wakulima wa korosho waichukie serikali yao.
Ikumbukwe mara baada ya waziri Bashungwa kuwaita wafanyabiashara waje kununua korosho ,kuna baadhi ya makuwadi wa mabeberu waliwapigia simu wafanyabiashara hao na kuwaambia wasije kununua korosho hizo kwa sababu zimeoza kama vitunguu!!
My take .
Rais Magufuli alishaonya tangu mwanzo wa utawala wake kwamba huwa hakwamishwi ,na wote waliojaribu kumkwamisha walikwama wao. Kiki ya Membe na Nnape kupitia zao la korosho sasa imekwama.
Kitendo cha serikali kupata masoko ya korosho imetafasiliwa kama kukata ngebe za Membe na Nnape ambao ilionekana wanajiimalisha mikoa ya kusini kupitia korosho iliyonunuliwa na serikali kukosa soko duniani, hivyo kuwafanya wakulima wa korosho waichukie serikali yao.
Ikumbukwe mara baada ya waziri Bashungwa kuwaita wafanyabiashara waje kununua korosho ,kuna baadhi ya makuwadi wa mabeberu waliwapigia simu wafanyabiashara hao na kuwaambia wasije kununua korosho hizo kwa sababu zimeoza kama vitunguu!!
My take .
Rais Magufuli alishaonya tangu mwanzo wa utawala wake kwamba huwa hakwamishwi ,na wote waliojaribu kumkwamisha walikwama wao. Kiki ya Membe na Nnape kupitia zao la korosho sasa imekwama.