SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,076
- 6,677
Pole sana, na nitarudia Ni Mh. Raisi Samia Suluhu Hassan sio Samia tu. Chuki ya nini? Kwani yeye ndie anayenilisha?Uongo upi mbona mapovu hivyo Mzee,unanichukia mimi au Samia aliyejenga? 😂😂
Ukijiangalia nankujitazama unajiona ulivojaa chuki...mwendazake ni nini? kama sio chuki? Inaeleweka umejaa chuki kwa sababu tu mlikuwa mmefungiwa mirija ya unyonyaji, sasa mnajikomba kwa Mh. ili muanze tena kutunyonya Watanzania.
Mapovu yamekujaa wewe.
Kamwe katika Ubuntu wangu hauwezi kunidhibiti hamwezi! na Propaganda zako na wana CCM wenzako mlioungana nao kuchochea mabadiliko ya mawazo na ufikiri wa Mwafrika utagota tu! Dingaan hapa bwa ha ha.
Usinibadilishie kibao hapo na hili sio ombi, hiyo saikolojia ya mizozo mizozo na mie nguli kawafanyie wakina wajinga na wapuuzi wenzako huko Exeter Hall bwahaaha
Huwezi kamwe kunipotosha, huwezi kunitisha tisha na hata kunivunja moyo au kunishawishi ili nikusujudie ww kama unavyotaka na longo longo zako. Genge lako litashindwa tu. Utalegea na kurudi machakani tu.
Utashindwa tu.