MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Serikali leo imetangaza kusitisha kutoa vibali vya MAHINDI kwa wafanyabiashara kupeleka KENYA sababu kubwa ni upungufu wa CHAKULA nchini na tumeshachelewa.
Mavuno ya Tanzania ni July na muda wa mzunguko wa biashara ni July ~August, hapa mazao huwa bei chee kote, wafanyabiashara wakubwa hutumia muda huu kununua mazao mengi kwa wakulima.
Leo Serikali inazuia biashara hii ya MAHINDI muda ushaisha, MAHINDI hamna kuna uhaba mkubwa wa SEMBE nchini.
Malawi walifunga mipaka yao mwezi July sisi BASHE alisema hatafunga mipaka yamkini kakwama leo kaivunja kauli yake mwenyewe.
Tumechelewa sana kufanya maamuzi huu mwaka utakua mgumu sana kwa CHAKULA .
Mavuno ya Tanzania ni July na muda wa mzunguko wa biashara ni July ~August, hapa mazao huwa bei chee kote, wafanyabiashara wakubwa hutumia muda huu kununua mazao mengi kwa wakulima.
Leo Serikali inazuia biashara hii ya MAHINDI muda ushaisha, MAHINDI hamna kuna uhaba mkubwa wa SEMBE nchini.
Malawi walifunga mipaka yao mwezi July sisi BASHE alisema hatafunga mipaka yamkini kakwama leo kaivunja kauli yake mwenyewe.
Tumechelewa sana kufanya maamuzi huu mwaka utakua mgumu sana kwa CHAKULA .