Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nadhani wote tunashuhudia namna wabunge wanavyolinda na kupiga kelele zinapotajwa posho na maslahi Yao. Ni mashuhuda kwamba Mzee Pinda linapokuja suala la ufugaji wa nyuki yupo radhi afunge safari kwenda Kwa Mhe. Mkubwa wa nchini kulitolea ufafanuzi, tunafahamu nguvu watakayotumia akina Zitto pale utakapoporomosha soko la korosha nchini nk.
Mifono hii inatosha kusema popote ambapo mwanasiasa amewekeza kelele zinakuwa kubwa na sera za nchi zinazingatia kelele hizo. Leo Mhe. Bashe anaangaika na maafisa Ugani Jambo ambalo ni jema ila amewahi kuwaza kuwashawishi wanasiasa walime mahindi, walime alzeti, walime michikichi nk Ili wamsaidie kulinda soko?
Ni kawaida kusikia wakulima wamevuna na soko let say la mahindi nchini Zambia lipo vizuri; then unamsikia Waziri au Mkuu wa Mkoa akitamka hakuna mkulima wa Tabora, Rukwa na Katavi kuuza mahindi nje. Ukisikia kauli hii unabaini wazi kwamba hapa hakuna mwanasiasa mwenye mahindi ndani anayeathirika na katazo hili. Au kama wapo basi wanatafuta mbinu yakununua Kwa Bei ndogo wapeleke Dsm then wasafirishe Kwa njia nyingine.
Nimwombe Mhe. Bashe asiangaike kutumia gharama kubwa kuhusu maafisa Ugani , atengeneze wakulima wakubwa then wakulima wataajiri maafisa Ugani na siyo serikali. Leo ukipata mwekezaji mkubwa wa Kilimo kutoka nje usitegemee atatumia maafisa Ugani wa serikali , ataajiri watu wake Kwa qualification anazozitaka.
Mwisho; ufuguja wa kuku nchini unakua Kwa Kasi, Lakini madaktari wa kuku awatoki serikalini wanazalishwa kwenye jamii au kuajiriwa kufanya kaz Kwa utaalam walionao.
Mhe. Bashe; tatizo la Kilimo siyo wataalam,tatizo ni nani anajihusisha na Kilimo na analindwa VIPI kumjengea confidence ya Kilimo? We need political will inline with political gurus paticipation in this sector.
Mifono hii inatosha kusema popote ambapo mwanasiasa amewekeza kelele zinakuwa kubwa na sera za nchi zinazingatia kelele hizo. Leo Mhe. Bashe anaangaika na maafisa Ugani Jambo ambalo ni jema ila amewahi kuwaza kuwashawishi wanasiasa walime mahindi, walime alzeti, walime michikichi nk Ili wamsaidie kulinda soko?
Ni kawaida kusikia wakulima wamevuna na soko let say la mahindi nchini Zambia lipo vizuri; then unamsikia Waziri au Mkuu wa Mkoa akitamka hakuna mkulima wa Tabora, Rukwa na Katavi kuuza mahindi nje. Ukisikia kauli hii unabaini wazi kwamba hapa hakuna mwanasiasa mwenye mahindi ndani anayeathirika na katazo hili. Au kama wapo basi wanatafuta mbinu yakununua Kwa Bei ndogo wapeleke Dsm then wasafirishe Kwa njia nyingine.
Nimwombe Mhe. Bashe asiangaike kutumia gharama kubwa kuhusu maafisa Ugani , atengeneze wakulima wakubwa then wakulima wataajiri maafisa Ugani na siyo serikali. Leo ukipata mwekezaji mkubwa wa Kilimo kutoka nje usitegemee atatumia maafisa Ugani wa serikali , ataajiri watu wake Kwa qualification anazozitaka.
Mwisho; ufuguja wa kuku nchini unakua Kwa Kasi, Lakini madaktari wa kuku awatoki serikalini wanazalishwa kwenye jamii au kuajiriwa kufanya kaz Kwa utaalam walionao.
Mhe. Bashe; tatizo la Kilimo siyo wataalam,tatizo ni nani anajihusisha na Kilimo na analindwa VIPI kumjengea confidence ya Kilimo? We need political will inline with political gurus paticipation in this sector.