Waziri Bashe anafahamu kazi za Benki Kuu (Central Bank) Duniani?

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Watu wa aina ya Bashe hawafai kuwa viongozi kwa Katiba tulionayo, Kwa kauli zake za ubabe hana tofauti yoyote na hayati John Pombe Magufuli siku akikabidhiwa Madaraka makubwa

Anatamka kauli "Atailazimisha Bank kuu” na siyo kuomba ifuate ushauri wake wa kuzitambua Co operative Banks Katika kukopeshwa kwa kufuata models anazofikiria yeye kichwani kwake

Waziri Bashe afahamishwe hata CRDB Plc ya sasa ilikuwa Co operative Banks wakati Yeye hajazaliwa wala hafahamu maana ya Monetary Policy au Fiscal policy

Waziri Bashe afahamishwe Bank kuu duniani kote ni independent organ

Kuna mtu mmoja aliwahi kugombana na Gavana Benno Ndulu wakati huo huku Yeye alijua amesoma Chemistry pale jalalani kwa ufalme wake akadhani kazi ya Benki kuu ni kuwaambia sasa Print makaratasi ya shilingi ya kutosha tulipe wakandarasi

Yule Bwana Chemistry baada ya kuona amejaziwa makaratasi hakujua kumbe bidhaa toka ulaya na China zinahitajika pesa za kigeni na sio makaratasi ya shilingi ambayo alidhani yanatengenezwa bila mahesabu ya Ukuaji wa uchumi

Waziri Bashe aelimishwa na akasome maana na kazi za Bank kuu, Bank kuu haiendeshwi kwa matamko ya wanasiasa kama Robert Mugabe

Matamko ya Robert Mugabe ya kutokuzingatia ushauri yamepelekea Zimbabwe mpaka Leo hawajui watumie Fedha ya kimarekani au watumie dollar ya Zimbabwe au zote kwa pamoja

Katika maisha huwezi kujua kila kitu labda akina Michael Angel na wale waliochora michora kule sisten Chapel Vatican ndio waliokuwa wanajua kila kitu

Waziri Bashe anataka kujigeuza Yeye mwenyewe Afisa Kilimo, Gavana, CEO wa Bank za Biashara, Je anatofauti gani na Mkemia aliyekuwa Padri Yeye, Daktari wa korona Yeye, Ushauri wa uganga wa Kienyeji yaani kupiga nyungu yeye

Bashe aambiwe Bank kuu ina kazi kubwa kuu mbili tu yenye vipengele vidogo vidogo kadhaa

Kazi kubwa za Bank kuu Duniani ni kutekeleza sera mbili tu

1.Monetary Policy
2.Fiscal Policy

Sheria yetu ya kuanzishwa kwa Bank kuu ipo wazi, Tusiruhusu baadhi ya watu kuwa juu ya sheria na katiba ya nchi kwa kauli ya Bashe "Nitailazimisha Benk kuu ifuate ushauri wangu" Wewe nani na una utaalamu gani wa uchumi na ni model gani yako ya uchumi umewahi kupublish ili tukaisome na kuichambua
 
Kama kauli zake anafanana na hayati JPM basi ni hazina kubwa kwa Taifa .
Unapokula chakula Jifunze kukaa kimya usipige sana kelele

Utawala huu wa Mama Samia huna haja ya kutumia nguvu sana na kupiga matarumbeta

Mkuu pesa inazunguka sana wakati huu inategemea urefu wa kamba yako

Wana ccm wengi tunamuunga mkono Mama Samia, Mimi binafsi huwezi niona hapa JF nikimponda Mama au kumsifia Mama,

Mama anafanya kazi nzuri sana

Huyo Bashe labda anajiaandaa na kampeni za Urais mwaka 2030, Anafanya hivyo ili asikike sikike

Kutajwa tajwa kwa mwana siasa ni raha na starehe inaonyesha uhai

Hapa JF mada zote zinazohusu uchumi wakati huu wa Mama huwa nawachora tu wapiga zumari na mapambio

Wakati huu wa Mama unapata wapi muda wa kulia lia pesa hakuna, Tulipiga pambio wakati wa JPM kwani mirija ilikatwa sana, Wakati wa Mama kila kitu kipo OK hata kwa Chadema ni OK bado Katiba mpya tu

Bashe anajiaandaa na uchaguzi wa 2030
 
Hii nchi bila kuwa mbishi haiendi , washauri ni wengi na tatizo sio wawajibikaji
 
Watu wa aina ya Bashe hawafai kuwa viongozi kwa katiba tulionayo, Kwa kauli zake za ubabe hana tofauti yeyote na hayati John Pombe Magufuli siku akikabidhiwa Madaraka makubwa

Anatamka kauli "Atailazimisha Bank kuu na siyo kuomba ifuate ushauri wake wa kuzitambua Co operative Banks Katika kukopeshwa kwa kufuata models anazofikiria yeye kichwani kwake

Waziri Bashe afahamishwe hata CRDB Plc ya sasa ilikuwa Co operative Banks wakati Yeye hajazaliwa wala hafahamu maana ya Monetary Policy au Fiscal policy

Waziri Bashe afahamishwe Bank kuu duniani kote ni independent organ,

Kuna mtu mmoja aliwahi kugombana na Gavana Benno Ndulu wakati huo huku Yeye alijua amesoma Chemistry pale jalalani kwa ufalme wake akadhani kazi ya Benki kuu ni kuwaambia sasa Print makaratasi ya shilingi ya kutosha tulipe wakandarasi

Yule Bwana Chemistry baada ya kuona amejaziwa makaratasi hakujua kumbe bidhaa toka ulaya na China zinahitajika pesa za kigeni na sio makaratasi ya shilingi ambayo alidhani yanatengenezwa bila mahesabu ya Ukuaji wa uchumi

Waziri Bashe aelimishwa na akasome maana na kazi za Bank kuu, Bank kuu haiendeshwi kwa matamko ya wanasiasa kama Robert Mugabe

Matamko ya Robert Mugabe ya kutokuzingatia ushauri yamepelekea Zimbabwe mpaka Leo hawajui watumie Fedha ya kimarekani au watumie dollar ya Zimbabwe au zote kwa pamoja

Katika maisha huwezi kujua kila kitu labda akina Michael Angel na wale waliochora michora kule sisten Chapel Vatican ndio waliokuwa wanajua kila kitu

Waziri Bashe anataka kujigeuza Yeye mwenyewe Afisa Kilimo, Gavana, CEO wa Bank za Biashara, Je anatofauti gani na Mkemia aliyekuwa Padri Yeye, Daktari wa korona Yeye, Ushauri wa uganga wa Kienyeji yaani kupiga nyungu yeye

Bashe aambiwe Bank kuu ina kazi kubwa kuu mbili tu yenye vipengele vidogo vidogo kadhaa

Kazi kubwa za Bank kuu Duniani ni kutekeleza sera mbili tu

1.Monetary Policy
2.Fiscal Policy

Sheria yetu ya kuanzishwa kwa Bank kuu ipo wazi, Tusiruhusu baadhi ya watu kuwa juu ya sheria na katiba ya nchi kwa kauli ya Bashe "Nitailazimisha Benk kuu ifuate ushauri wangu" Wewe nani na una utaalamu gani wa uchumi na ni model gani yako ya uchumi umewahi kupublish ili tukaisome na kuichambua
Dogo Bashe kalewa madaraka aisee

Naona anguko lake la hatari kabisa

Hajui anavyoviongea ila anaongea kwa confidence ya ajabu

Yaani anongea vitu vya hovyo kabisa ila kwa confidence anayopata mla unga!
 
Kauli ya Waziri Kilimo Hussein Bashe kuilazimisha na kuishinikiza Benki Kuu ya Tanzania kuacha kusimamia sheria zilizopo na kufanya upendeleo kwa Benki ya Ushirika katika mfumo wa utoaji wa mikopo.

1. Bashe atambue kuwa Benki Kuu ya Tanzania imeanzishwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya Benki Kuu ambapo benki hiyo ili kutimiza majukumu yake kikamilifu imepewa kinga ya kutoingiliwa na chombo chochote (Autonomous Power), Benki Kuu haiingiliwi katika kutekeleza majukumu yake ya kisheria, kiutawala na malengo iliyojiwekea.

2. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe hana mamlaka na nguvu kisheria kuiagiza na kulazimisha Central Bank, agizo la Waziri huyu halina msingi wowote wa kisheria, kitendo cha Waziri kuishinikiza Benki Kuu ni uvunjaji wa sheria na amevuka mipaka yake ya uongozi, inasikitisha sana kwa kiongozi wa ngazi ya juu aliyeaminiwa na nchi kuvunja sheria na kushindwa kujua mipaka ya majukumu yake ya kazi.

3. Benki Kuu ya Tanzania imechukua hatua gani kutokana na kauli ya Waziri Bashe ambayo imedhalilisha na kubeza mamlaka ya BOT, kama kauli hizi zitaachwa kama zilivyo itajengeka dhana kwamba kumbe Benki Kuu ya Tanzania inafanya maamuzi kwa mashinikizo ya wanasiasa na sio kutokana na vigezo, utafiti na hali ya uchumi nchini hali ambayo itaichafua nchi yetu kitaifa na kimataifa.

4. Taasisi za Fedha za Kimataifa WB na IMF zinazohusika na kutoa kanuni na miongozo ya uendeshaji na usimamizi wa sekta ya fedha duniani zinaweza kuiadhibu Tanzania kwa kukiuka kanuni na miongozo ya usimamizi wa Benki Kuu.

5. Benki Kuu ya Tanzania imekuwa ikifanya mabadiliko mengi ya kisera na kimfumo bila shinikizo kutoka chombo au mtu yoyote kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi na matokeo ya tafiti mbalimbali, BOT imejipatia umaarufu mkubwa kimataifa na kupewa tuzo mbalimbali kutoka taasisi zinazoaminika duniani. Iweje leo inaenda kulazimishwa na kushinikizwa kutoa upendeleo katika mfumo wa utoaji wa mkopo wa benki ya ushirika pekee?

6. Waziri Bashe anazikaripia benki na kuzishinikiza ziache kusimamia sheria na masharti ya utoaji wa mikopo yaliyowekwa na BOT na badala yake zitoe mikopo kiholela. Taasisi zetu za fedha zinafanya kazi nzuri sana ya utoaji wa mikopo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi tulitegemea pongezi kwa mabenki kutoka kwa Waziri badala ya kutoa lawama na dhihaka.

7. Kauli za Waziri Bashe zimejaa utata na uvunjaji wa sheria za nchi, kaingilia mamlaka zingine ambazo ni nje ya mamlaka aliyopewa, kulazimisha na kushinikiza badala ya kushauri kwa vigezo na taarifa za utafiti ni mambo ya kusikitisha ambayo hayatarajiwi yafanywe na kiongozi mkubwa wa ngazi yake.

Mwisho nawashauri Wataalamu wa Wizara ya Kilimo mlio wengi hapo Wizarani mna elimu kubwa sana za Masters na P.h.D naomba msaidieni sana Waziri wenu katika kufikia maamuzi maana lazima mtambue mna kiongozi mwenye elimu ndogo ya Digrii 1 tu tena na elimu ya biashara hivyo mambo ya kilimo ni makubwa na mkumbuke pia Bashe hajawahi kufanya kazi serikalini kwa hiyo mifumo mingi ya kiserikali inampiga chenga ndio maana anaamini yeye anaweza kuamua chochote au kuagiza chochote
 
Sina hakika ni Kwa kiwango gani elimu yetu iwapo ina msaada sana Kwa dunia inayoongozwa Kwa Technology ya hali ya juu kabisa!

Kuna wakati, ubabe ktk dunia yetu ya nusu Giza, unahitajika saana kuliko hii kitu inaitwa Democrasia!
 
Unapokula chakula Jifunze kukaa kimya usipige sana kelele

Utawala huu wa Mama Samia huna haja ya kutumia nguvu sana na kupiga matarumbeta

Mkuu pesa inazunguka sana wakati huu inategemea urefu wa kamba yako

Wana ccm wengi tunamuunga mkono Mama Samia, Mimi binafsi huwezi niona hapa JF nikimponda Mama au kumsifia Mama,

Mama anafanya kazi nzuri sana

Huyo Bashe labda anajiaandaa na kampeni za Urais mwaka 2030, Anafanya hivyo ili asikike sikike

Kutajwa tajwa kwa mwana siasa ni raha na starehe inaonyesha uhai

Hapa JF mada zote zinazohusu uchumi wakati huu wa Mama huwa nawachora tu wapiga zumari na mapambio

Wakati huu wa Mama unapata wapi muda wa kulia lia pesa hakuna, Tulipiga pambio wakati wa JPM kwani mirija ilikatwa sana, Wakati wa Mama kila kitu kipo OK hata kwa Chadema ni OK bado Katiba mpya tu

Bashe anajiaandaa na uchaguzi wa 2030
"Mimi binafsi huwezi niona hapa JF nikimponda Mama au kumsifia Mama.

Mama anafanya kazi nzuri sana.
TAFAKARI!
 
Je anatofauti gani na Mkemia aliyekuwa Padri Yeye, Daktari wa korona Yeye, Ushauri wa uganga wa Kienyeji yaani kupiga nyungu yeye
Huyu mkemia ndiye muasisi wa ujinga ujinga unaoendelezwa na baadhi ya viongozi wa nchi hii.

Ashukuriwe sana Mungu kwa kutwaliwa kwake
 
Unapokula chakula Jifunze kukaa kimya usipige sana kelele

Utawala huu wa Mama Samia huna haja ya kutumia nguvu sana na kupiga matarumbeta

Mkuu pesa inazunguka sana wakati huu inategemea urefu wa kamba yako

Wana ccm wengi tunamuunga mkono Mama Samia, Mimi binafsi huwezi niona hapa JF nikimponda Mama au kumsifia Mama,

Mama anafanya kazi nzuri sana

Huyo Bashe labda anajiaandaa na kampeni za Urais mwaka 2030, Anafanya hivyo ili asikike sikike

Kutajwa tajwa kwa mwana siasa ni raha na starehe inaonyesha uhai

Hapa JF mada zote zinazohusu uchumi wakati huu wa Mama huwa nawachora tu wapiga zumari na mapambio

Wakati huu wa Mama unapata wapi muda wa kulia lia pesa hakuna, Tulipiga pambio wakati wa JPM kwani mirija ilikatwa sana, Wakati wa Mama kila kitu kipo OK hata kwa Chadema ni OK bado Katiba mpya tu

Bashe anajiaandaa na uchaguzi wa 2030
Ukisikia propaganda ndio hizi
 
Atoe balance sheet na income statements za hizo benki za ushirika kwanza.
 
Nilikuwa namuona Bashe presidential material ila kwa kauli hii basi namuondoa kwenye kundi la presidential material

Haya ndo yalisababisha mwendazake kuangusha uwekezaji na uchumi
 
Anatabia ya kuropoka mara nyingi ukisikiliza economic arguments zake unaona kabisa hapa hamna kitu.

Bank itoe hela kirahisi kwa amana ya korosho ambayo aijavunwa? Wakati kuna variables kibao ya kupoteza hiyo hela.

Mikopo ya korosho wawaachie Kangomba au serikali ifungue bank ya kuchukua hizo risk. Lakini hakuna private bank timamu itakayotoa hela yake kwa mkulima kwa amana ya mazao ambayo hayapo.

Banks zinafanya risks assessment ya hela zake na kuangalia several factors za kuweza kupoteza hela za mikopo.

Ni mtu ambae mara nyingi anajiropokea tu, hajui technical reasoning ya decision za lenders.
 
Ukishaona mtu anapenda media popularity jua hakuna kitu.

Mtu wa mikamera kila anapofanya kitu jua ni zero.
 
Watu wa aina ya Bashe hawafai kuwa viongozi kwa Katiba tulionayo, Kwa kauli zake za ubabe hana tofauti yoyote na hayati John Pombe Magufuli siku akikabidhiwa Madaraka makubwa

Anatamka kauli "Atailazimisha Bank kuu” na siyo kuomba ifuate ushauri wake wa kuzitambua Co operative Banks Katika kukopeshwa kwa kufuata models anazofikiria yeye kichwani kwake

Waziri Bashe afahamishwe hata CRDB Plc ya sasa ilikuwa Co operative Banks wakati Yeye hajazaliwa wala hafahamu maana ya Monetary Policy au Fiscal policy

Waziri Bashe afahamishwe Bank kuu duniani kote ni independent organ

Kuna mtu mmoja aliwahi kugombana na Gavana Benno Ndulu wakati huo huku Yeye alijua amesoma Chemistry pale jalalani kwa ufalme wake akadhani kazi ya Benki kuu ni kuwaambia sasa Print makaratasi ya shilingi ya kutosha tulipe wakandarasi

Yule Bwana Chemistry baada ya kuona amejaziwa makaratasi hakujua kumbe bidhaa toka ulaya na China zinahitajika pesa za kigeni na sio makaratasi ya shilingi ambayo alidhani yanatengenezwa bila mahesabu ya Ukuaji wa uchumi

Waziri Bashe aelimishwa na akasome maana na kazi za Bank kuu, Bank kuu haiendeshwi kwa matamko ya wanasiasa kama Robert Mugabe

Matamko ya Robert Mugabe ya kutokuzingatia ushauri yamepelekea Zimbabwe mpaka Leo hawajui watumie Fedha ya kimarekani au watumie dollar ya Zimbabwe au zote kwa pamoja

Katika maisha huwezi kujua kila kitu labda akina Michael Angel na wale waliochora michora kule sisten Chapel Vatican ndio waliokuwa wanajua kila kitu

Waziri Bashe anataka kujigeuza Yeye mwenyewe Afisa Kilimo, Gavana, CEO wa Bank za Biashara, Je anatofauti gani na Mkemia aliyekuwa Padri Yeye, Daktari wa korona Yeye, Ushauri wa uganga wa Kienyeji yaani kupiga nyungu yeye

Bashe aambiwe Bank kuu ina kazi kubwa kuu mbili tu yenye vipengele vidogo vidogo kadhaa

Kazi kubwa za Bank kuu Duniani ni kutekeleza sera mbili tu

1.Monetary Policy
2.Fiscal Policy

Sheria yetu ya kuanzishwa kwa Bank kuu ipo wazi, Tusiruhusu baadhi ya watu kuwa juu ya sheria na katiba ya nchi kwa kauli ya Bashe "Nitailazimisha Benk kuu ifuate ushauri wangu" Wewe nani na una utaalamu gani wa uchumi na ni model gani yako ya uchumi umewahi kupublish ili tukaisome na kuichambua
Wewe bashe ni mchumi aliyesoma vizuri hawezi kusema hayo ni wazi umemsikiliza vibaya
 
Back
Top Bottom