makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,014
- 80,655
Kwenye mabasi wanajitia wanatupenda saana, ila internet wanakaza.. Hii nchi nchii
Dah! Si ajabu na wewe ni Great Thinker humu JF!Huyu naye ana mambo ya hovyo sn, kama gari haijapata ajali na inaking'amuzi shida nini?
Kama mtu mmoja au wawili wanasafiri kwa mwendo huo kwa ridhaa yao wenyewe ni shauri yao ingawa bado ni kosa. Lakini huwezi kucheza na mamia ya maisha ya watu kwenye basi.Speed 120 ni kawaida sana, mbona wao gari zao zinaenda mpk speed 220 au wao hawajali uhai wao wanatujali sana sisi wananchi? gari za Serikali mara kwa mara zinapata ajali au huwa husikii?
Ndugu, hakuna madesa wala nini, barabara zetu Kwa speed hiyo ni kujitafutia kifo tu...labda tumpate magufuli mwingine aje ajenge highways na motorways . Hilo likifanyika na tukiwa tuko hai, ndo utanielewa...Mbona unachanga madesa? Kuendesha 125km/h siyo tatizo wakati hapo hapo unahoji kama barabara zetu zinahimili? Wewe unaona zinahimili?
Kweli umefikiri kabla ya kuandika au? 125kph Basi lililojaa abiria ? Kwanza 3 michache wangefutiwa kabisaHuyu naye ana mambo ya hovyo sn, kama gari haijapata ajali na inaking'amuzi shida nini?
Kwa hili hongera kwa waziri. Wanaambiwa watembee 80 km kwa saa lakini hawasikiiSerikali ndiyo yenye jukumu la kusimamia hayo! Yapo mambo viongozi wanafanya vyema kama hili hongera sana kwa Waziri!
Bora kuchelewa lakini abiria wafike salama
Hivi mnataka muongozwe vp?Haya ndio mambo Rais Samia ameyakataza!
Hatua inachukuliwa na Mahakama au waziri...Hivi mnataka muongozwe vp?
Mabasi yakikimbia hadi kuua mnalalamika
Madereva wasipochukuliwa hatua mnalalamika
Wakichukuliwa hatua mnalalamika
Ova
Kampuni zilizofungiwa ni zipi?Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amefunga leseni za madereva 10 wa mabasi yanayokwenda mikoani wakidaiwa kuvunja sheria za usalama barabarani.
Simbachawene alifunga leseni hizo kwa miezi mitatu kwa kuwa madareva hao walidaiwa kuendesha mabasi kwa mwendokasi wa kilometa 125 kwa saa.
Aliwaeleza waandishi wa habari jana jijini Dodoma kuwa hivi karibuni baadhi ya madereva walianzisha tabia ya kukiuka sheria za barabarani na hivyo kuhatarisha maisha ya abiria wanaotumia vyombo hivyo.
Simbachawene alisema ameliagiza Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, liwashitaki mahakamani madereva hao 10 na agizo hilo litekelezwe ndani ya siku 14 tangu.
Ippmedia
Haki isipotendeka lazima minong'ono... kazi ya mahakama anafanya Waziri.. sheria zetu zinaonesha adhabu hiyo ni fine elfu 30 + Sumatra kama 250,000 and akiwa hakomi nadhani ndio mahakamani.. sasa Waziri kuinua mabega kwa raisi anawafungia yeye leseni zilizo nje ya mamlaka yakeTanzania ina walalamikaji wengi sana
Kwa hiyo basi ina njia yake na gari zingine zina njia zake?Kweli umefikiri kabla ya kuandika au? 125kph Basi lililojaa abiria ? Kwanza 3 michache wangefutiwa kabisa
Mmiliki wa Ester bus ni mchaga si mnyiramba !Ester luxury Coach kampuni ya mabasi ya Mwigulu Nchemba mbona waziri hajawafungia? Mwendo wa mabasi hayo ni kms 140 kwà saa.