TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,189
Pamoja na baadhi ya Watanzania kuona kuna madudu yanafanyika pmus kuwanyonya kutokana na baadhi ya viongozi kuingia kwenye siasa kwa mgongo wa wazee wao, bado mnaweza kuwaachia watanzania legacy ya kuwakumbuka hata msipokuwepo.
MAJI; Nchi yetu imekuwa na janga la uhaba wa maji kwa miongo kadhaa kisa ukame, ilihali tumezungukwa na maziwa na mito mingi kila mkoa.
Ukiangalia baadhi ya mito mingi nchini inatiririsha maji na kuishia baharini, sehemu ambayo hakuna ulazima wowote maji kuingia baharini.
Tuchukulie mto wami au pangani kule kwenu, badala ya hayo maji kuendelea kuishia baharini inawezekana kujengwa bwawa kubwa (mwisho kabla ya eneo la bahari) hayo maji badala ya kuingia baharini yakaingia kwenye bwawa hilo kisha yanavunwa kuelekea kwenye matenki ya maji ili yasambazwe mkoa husika.
Haiwezekani nchi kama Misri hawana chanzo chochote cha maji ila wanategemea mto nile ambao maji yake yanatoka hapa kwetu na katika kufuatilia, huko misri hawwjui kitu kinaitwa mgao wa maji, ila sisi kila siku ni siasa hata kwenye mambo ya msingi.
MAJI; Nchi yetu imekuwa na janga la uhaba wa maji kwa miongo kadhaa kisa ukame, ilihali tumezungukwa na maziwa na mito mingi kila mkoa.
Ukiangalia baadhi ya mito mingi nchini inatiririsha maji na kuishia baharini, sehemu ambayo hakuna ulazima wowote maji kuingia baharini.
Tuchukulie mto wami au pangani kule kwenu, badala ya hayo maji kuendelea kuishia baharini inawezekana kujengwa bwawa kubwa (mwisho kabla ya eneo la bahari) hayo maji badala ya kuingia baharini yakaingia kwenye bwawa hilo kisha yanavunwa kuelekea kwenye matenki ya maji ili yasambazwe mkoa husika.
Haiwezekani nchi kama Misri hawana chanzo chochote cha maji ila wanategemea mto nile ambao maji yake yanatoka hapa kwetu na katika kufuatilia, huko misri hawwjui kitu kinaitwa mgao wa maji, ila sisi kila siku ni siasa hata kwenye mambo ya msingi.