Liz Senior
JF-Expert Member
- Apr 19, 2007
- 483
- 53
Huyu si yule yule huko kwao walimjia juu wakati fulani kwamba amekuwa "mzungu" mpaka jina kabadili walikuwa wanamjua kama Jeremia ghafla karudi kutafuta ubunge anaitwa Jeremier! [Yale matamshi yakawafanya wakwao wamjie juu]