OSOKONI JF-Expert Member Oct 20, 2011 10,965 5,336 Mar 5, 2013 #61 mwaJ said: Ni waziri asiye na kazi maalum! ...... Click to expand... Sometimes anaweza kuambiwa akamwagilie maua kule magogoni au akachemshe chai nazo si kazi pia??
mwaJ said: Ni waziri asiye na kazi maalum! ...... Click to expand... Sometimes anaweza kuambiwa akamwagilie maua kule magogoni au akachemshe chai nazo si kazi pia??
B blessings JF-Expert Member Jul 9, 2012 6,983 6,237 Jul 15, 2014 #63 Nchi hii ni ya ajabu kabisa. Bado kidogo tutaingia kwenye GUINESS WORLD BOOK OF RECORDS
Hivi punde JF-Expert Member Apr 1, 2017 2,554 8,552 Sep 26, 2019 #64 Awamu ya Nne niliwahi kusikia Rais Kikwete alimteua Prof. Mark Mwandosya kuwa Waziri asiyekuwa na Wizara maalumu. Kuna ukakasi fulani maana chini ya huyo Waziri kuna Naibu Waziri , Katibu Mkuu , Wakurugenzi na Watendaji wa Idara mbalimbali (za Wizara ). Waziri asiyekuwa na Wizara maalumu ni Waziri wa namna gani ? Kazi zake ni zipi ? Nikimtaka Katibu Mkuu wa hiyo Wizara anakuwa wapi ? Bunge hupitishaje Bajeti ya Wizara isiyokuwa maalum? Ufafanuzi tafadhari
Awamu ya Nne niliwahi kusikia Rais Kikwete alimteua Prof. Mark Mwandosya kuwa Waziri asiyekuwa na Wizara maalumu. Kuna ukakasi fulani maana chini ya huyo Waziri kuna Naibu Waziri , Katibu Mkuu , Wakurugenzi na Watendaji wa Idara mbalimbali (za Wizara ). Waziri asiyekuwa na Wizara maalumu ni Waziri wa namna gani ? Kazi zake ni zipi ? Nikimtaka Katibu Mkuu wa hiyo Wizara anakuwa wapi ? Bunge hupitishaje Bajeti ya Wizara isiyokuwa maalum? Ufafanuzi tafadhari