Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
basically ni kwamba anaamka asubuhi anaenda kazini, analetewa chai na magazeti anasoma, anafungua computer yake anacheki emails zake akimaliza anaingia jamii forums anaanza kuchat na sisi mpaka jioni anafunga ofisi anarudi nyumbani.
Mwisho wa mwezi; mshahara, marupurupu kama viongozi wengine wa serikali, ana pension yake, house, fuel and car allowance. mshahara na posho kama wabunge wengine. Mradi anaishi na watoto wanasomeshwa. By the way tumeambiwa serikali haina hela. IT CAN ONLY HAPPEN IN BONGO :noidea:
Pana wakati huwa nnatamani kuwa kiziwi nisisikie mambo Kama haya,tusubiri bajeti ya mwaka huu namna ambavyo Serikali itawapandishia kodi watanzania.Kila kona itakuwa ni kilio