Waziri Ashatu Kijaji hiyo 'Doctorate' yako ni ya Ubobezi wa Uwongo au Kuchanganya?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,871
"Royal Tour ya Rais Samia imesababisha Hoteli zote Kubwa Dar es Salaam, Kilimayna Arusha kujaa kwa miezi Mitatu ijayo" Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dk. Ashatu Kijaji.

Halafu GENTAMYCINE nawaulizeni nyie Viongozi wa Serikali hivi mnavyokuwa mnatudanganya kiasi hiki huwa mnadhani kuwa labda katika hizo (hizi) Sekta / Taasisi hatuna ama Marafiki au Ndugu ambao hutueleza halisi on the ground kiasi kwamba kila mara mtuone Watanzania wote ni Mazuzu na Wanastahili tu Kudanganywa?

Shame on your Honourable Minister!!!!
 
Mm najiuliza Sana mbona hayamambo ya kusifia hata visivyosifika hatukuyaona enz za mwiny mkapa na jk

Toka awamu ya tano iingie madarakan tukaanza kusikia kusifia

Mfano unafuta ajira za walimu halafu unatoa kibal Cha kuajir walimu 1000 wajinga fulan wanakuja kusifia wakat kafuta ajira 20000

Na mashaka na wasom wa Tanzani


Prof kabudi mbele ya halaiki alimwita Rais MUNGU dah so sad wasomi wa nchi hii

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
"Royal Tour ya Rais Samia imesababisha Hoteli zote Kubwa Dar es Salaam, Kilimayna Arusha kujaa kwa miezi Mitatu ijayo" Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dk. Ashatu Kijaji.

Halafu GENTAMYCINE nawaulizeni nyie Viongozi wa Serikali hivi mnavyokuwa mnatudanganya kiasi hiki huwa mnadhani kuwa labda katika hizo (hizi) Sekta / Taasisi hatuna ama Marafiki au Ndugu ambao hutueleza halisi on the ground kiasi kwamba kila mara mtuone Watanzania wote ni Mazuzu na Wanastahili tu Kudanganywa?

Shame on your Honourable Minister!!!!
Kuna Dr mmoja wa OUT alisema utafiti wake umebaini wanawake wanaovaa suruali wako flat makalioni na wamejaa vifua na vitambi
 
Mm najiuliza Sana mbona hayamambo ya kusifia hata visivyosifika hatukuyaona enz za mwiny mkapa na jk

Toka awamu ya tano iingie madarakan tukaanza kusikia kusifia

Mfano unafuta ajira za walimu halafu unatoa kibal Cha kuajir walimu 1000 wajinga fulan wanakuja kusifia wakat kafuta ajira 20000

Na mashaka na wasom wa Tanzani


Prof kabudi mbele ya halaiki alimwita Rais MUNGU dah so sad wasomi wa nchi hii

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kusifia sifia na uongo ndio sifa kuu za ccm, zipo hadi kwenye ilani. Kwahiyo anatekeleza ilani ya chama.
 
"Royal Tour ya Rais Samia imesababisha Hoteli zote Kubwa Dar es Salaam, Kilimayna Arusha kujaa kwa miezi Mitatu ijayo" Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dk. Ashatu Kijaji.

Halafu GENTAMYCINE nawaulizeni nyie Viongozi wa Serikali hivi mnavyokuwa mnatudanganya kiasi hiki huwa mnadhani kuwa labda katika hizo (hizi) Sekta / Taasisi hatuna ama Marafiki au Ndugu ambao hutueleza halisi on the ground kiasi kwamba kila mara mtuone Watanzania wote ni Mazuzu na Wanastahili tu Kudanganywa?

Shame on your Honourable Minister!!!!
Mr Twaha Bigirimana naona umekuja kivingine
 
Back
Top Bottom