Mr.mzumbe JF-Expert Member Oct 11, 2011 1,014 957 Apr 28, 2012 #1 Kijana mmoja kwa jina anaitwa Waziri Jumbe,mkata mbao.Amepotea jana jioni kwenye mazingira ya kutatanisha alipokuwa kwnye ziara zake za kila siku.
Kijana mmoja kwa jina anaitwa Waziri Jumbe,mkata mbao.Amepotea jana jioni kwenye mazingira ya kutatanisha alipokuwa kwnye ziara zake za kila siku.
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Apr 28, 2012 #3 Mabosi wa magazeti ya Kiu, Ijumaa, Risasi hawajakuona nadhani ! Wakikuona hawakuachi ng'oo!
Mr.mzumbe JF-Expert Member Oct 11, 2011 1,014 957 Apr 28, 2012 Thread starter #4 Judgement said: Mabosi wa magazeti ya Kiu, Ijumaa, Risasi hawajakuona nadhani ! Wakikuona hawakuachi ng'oo! Click to expand... Basi niunganishie kwa Shigongo.
Judgement said: Mabosi wa magazeti ya Kiu, Ijumaa, Risasi hawajakuona nadhani ! Wakikuona hawakuachi ng'oo! Click to expand... Basi niunganishie kwa Shigongo.
Mtalingolo JF-Expert Member Aug 4, 2011 2,181 409 Apr 28, 2012 #5 Mbio zangu zote hizi, kumbe mkata mbao?? Utanivunja miguu...
Al Zagawi JF-Expert Member Mar 17, 2009 2,461 1,447 Apr 28, 2012 #6 ..............si haba umejiongezea post na umeingia katika list ya waliowahi kuanzisha threads.
Rejao JF-Expert Member May 4, 2010 9,220 4,056 Apr 28, 2012 #8 Eliza wa Tegeta said: Think tank la ccm! Ptuuuu!! Click to expand... Hivi wewe mwanamke kumbebado unaexist!!
Eliza wa Tegeta said: Think tank la ccm! Ptuuuu!! Click to expand... Hivi wewe mwanamke kumbebado unaexist!!
Mr.mzumbe JF-Expert Member Oct 11, 2011 1,014 957 Apr 28, 2012 Thread starter #10 Mtalingolo said: Mbio zangu zote hizi, kumbe mkata mbao?? Utanivunja miguu... Click to expand... Kwa hiyo akiwa mkata mbao ndio haki yake kupotea?
Mtalingolo said: Mbio zangu zote hizi, kumbe mkata mbao?? Utanivunja miguu... Click to expand... Kwa hiyo akiwa mkata mbao ndio haki yake kupotea?
Mr.mzumbe JF-Expert Member Oct 11, 2011 1,014 957 Apr 28, 2012 Thread starter #11 Al Zagawi said: ..............si haba umejiongezea post na umeingia katika list ya waliowahi kuanzisha threads. Click to expand... mi-JUNIOUR MEMBER utaijua tu.Lazima litatumia hoja kujibu!!hapa chitchat bana.
Al Zagawi said: ..............si haba umejiongezea post na umeingia katika list ya waliowahi kuanzisha threads. Click to expand... mi-JUNIOUR MEMBER utaijua tu.Lazima litatumia hoja kujibu!!hapa chitchat bana.
Kigarama JF-Expert Member Apr 23, 2007 2,492 1,230 Oct 15, 2013 #12 Kongosho Judgement na Rejao mnakumbuka mliandika nini kwenye hili bandiko??
Wapoti JF-Expert Member Aug 28, 2013 2,824 1,095 Oct 15, 2013 #13 Loh.... umeniweza nilidhani ni nyooka kapotea ba dhana yake ya piga kumbe mpasua mbao
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Oct 15, 2013 #15 Sikujua hata kama nilikomenti Kigarama said: Kongosho Judgement na Rejao mnakumbuka mliandika nini kwenye hili bandiko?? Click to expand...
Sikujua hata kama nilikomenti Kigarama said: Kongosho Judgement na Rejao mnakumbuka mliandika nini kwenye hili bandiko?? Click to expand...
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,076 Oct 16, 2013 #17 santeee kwa taarifa. Nalog off