Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 181
ndo hivyo mkuu
sijui ofisi wamemwachia nani
sijui ofisi wamemwachia nani
subirini kichapo magwanda mbona mnatia huruma mapema hivi?
Ndio maana tunataka katiba mpya ambayo tutaka mawaziri wasiwe wabunge na pia tuwe na idadi kamili iliyokubaliwa kikatiba ya mawaziri na wizara zao,na jinsi ya kuwapata na kuwaidhinisha ,muda si mrefu kwa huu mtindo tutakuwa na first lady waziri,mtoto wa presidaa naye waziri,nyumba ndogo ,mjukuu n.k.
Kwa ufupi waziri kwenda kwenye kampeni ni matumizi mabaya ya fedha za wananchi,tutake au tusitake,sasa huko ofisini kazi zao wamemmwachia nani ,na hao ndio unawasikia wanasema tumwetumwa na raisi (sio mwenyekiti)[/ QUOTE]
Mimi leo nimeshuhudia mkutano wa magufuli kata ya choma igunga. Mbali na kuwa na watu kiduchu ,bila haya alikuwa anawadanganya wana igunga kwamba ataomba bajeti ya ziada kwa ajili ya kuwatengenezea madaraja ambayo yamekuwa kero sugu miaka nenda rudi licha ya ccm kuahidi katika kila kampeni kuyatengeneza.
Ila kubwa kuliko zote na iliyonichosha ni pale alipompigia simu waziri wa kilimo, na kumuweka loud speaker aongee na wananchi na kutoa ahadi ya kukifufua kiwanda cha kuchambua pamba ambacho licha ya kwamba ni cha mtu binafsi (bwn rajani. Aliyepewa na swahiba wake rostam)kimebakia magofu baada ya mashine zote kung'olewa. Mbaya zaidi maghembe alikuwa anazungumza kama mtu aliyeshtuliwa usingizini. Ni aibu tupu!
Hakika magamba ni matapeli.
Nimefuatilia kampeni za uchaguzi mdogo igunga,mi sidhani kama ni sahihi kwa viongozi kama mawaziri kushiriki kampeni,sababu waziri ni wa watanzania wote bila kujali vyama.Nimewaona Wasira,Magufuli n.k.Wadau mnasemaje..
Jibu utakalopewa ni kuwa Wamekuja kwa nyadhifa za kichama, na si kama mawaziri!
Japo Swali linabaki palepale kuwa ofisi zao wamemwachia nani, au wako likizo?
Magufuli ni waziri wa ujenzi sasa ulitaka aahidi chapati?
Yani ukichunguza utendaji wa nchi hii wallah utaishia kutapata msongo wa mawazo tu. Haya mawaziri yamajisahau kabisa utadhani yapo likizo. Hapa kinachouma ni kwamba sisi ndo tunawawezesha katika kula, kulala na kututukana kwa kodi zetu. Isingekuwa hivyo, tungesema bora tu yawe Igunga mana hata yakikaa ofisini hakuna yanachofanya.Katika hali ya kushangaza, karibu nusu ya mawaziri wote wa serikali ya Kikwete ama wametembelea au wameweka kambi kabisa Igunga kwa ajili ya kampeni za CCM. Najiuliza, hawa mawaziri si wanatakiwa kuwa ofisini kuwatumikia watanzania? Je hawa mawaziri wakienda igunga wanaendesha magari binafsi kwa kutumia madereva binafsi? Kama wanatumia magari ya serikali, mafuta ya serikali na dereva anayelipwa na serikali, ni kwanini wanakifanyia kampeni chama kimoja ili hali wapo kiserikali na si kichama? Natoa pendekezo mawaziri wote waliotumia magari ya serikali kwenda Igunga kupiga kampeni washitakiwe. Chadema chukueni hoja hii ifanyieni kazi mara baada ya uchaguzi kuisha. Kwa hoja hii tu tunaweza pia tukaomba uchaguzi urudiwe kwa kuwa hakukuwa na usawa katika kampeni. Chama kingine kinatumia resource za chama wakati kingine kinatumia kodi za wananchi, wapi na wapi?
Yani ukichunguza utendaji wa nchi hii wallah utaishia kupata hasira tu. Haya mawaziri yamejisahau kabisa utadhani yapo likizo. Hapa kinachouma ni kwamba sisi ndo tunayawezesha kwa kodi zetu kula, kulala na kututukana. Isingekuwa hivyo, tungesema bora tu yawe Igunga mana hata yakikaa ofisini hakuna yanachofanya, yanasinzia tu.Katika hali ya kushangaza, karibu nusu ya mawaziri wote wa serikali ya Kikwete ama wametembelea au wameweka kambi kabisa Igunga kwa ajili ya kampeni za CCM. Najiuliza, hawa mawaziri si wanatakiwa kuwa ofisini kuwatumikia watanzania? Je hawa mawaziri wakienda igunga wanaendesha magari binafsi kwa kutumia madereva binafsi? Kama wanatumia magari ya serikali, mafuta ya serikali na dereva anayelipwa na serikali, ni kwanini wanakifanyia kampeni chama kimoja ili hali wapo kiserikali na si kichama? Natoa pendekezo mawaziri wote waliotumia magari ya serikali kwenda Igunga kupiga kampeni washitakiwe. Chadema chukueni hoja hii ifanyieni kazi mara baada ya uchaguzi kuisha. Kwa hoja hii tu tunaweza pia tukaomba uchaguzi urudiwe kwa kuwa hakukuwa na usawa katika kampeni. Chama kingine kinatumia resource za chama wakati kingine kinatumia kodi za wananchi, wapi na wapi?
Katika hali ya kushangaza, karibu nusu ya mawaziri wote wa serikali ya Kikwete ama wametembelea au wameweka kambi kabisa Igunga kwa ajili ya kampeni za CCM. Najiuliza, hawa mawaziri si wanatakiwa kuwa ofisini kuwatumikia watanzania? Je hawa mawaziri wakienda igunga wanaendesha magari binafsi kwa kutumia madereva binafsi? Kama wanatumia magari ya serikali, mafuta ya serikali na dereva anayelipwa na serikali, ni kwanini wanakifanyia kampeni chama kimoja ili hali wapo kiserikali na si kichama? Natoa pendekezo mawaziri wote waliotumia magari ya serikali kwenda Igunga kupiga kampeni washitakiwe. Chadema chukueni hoja hii ifanyieni kazi mara baada ya uchaguzi kuisha. Kwa hoja hii tu tunaweza pia tukaomba uchaguzi urudiwe kwa kuwa hakukuwa na usawa katika kampeni. Chama kingine kinatumia resource za chama wakati kingine kinatumia kodi za wananchi, wapi na wapi?