hivi kuna la ajabu mwanamke kutongozwa? hayo si ni maisha ya kila siku?Uliona wapi mwanamke akatongozwa akasema katongozwa, unless awe anataka kutongozwa tu, yani unatuambia tukutongoze kiaina aian flani vile.
Uliona wapi mwanamke akatongozwa akasema katongozwa, unless awe anataka kutongozwa tu, yani unatuambia tukutongoze kiaina aian flani vile.
K' ni yako mwenyewe. Fanya maamuzi.
alishakuomba mzigo nn?vp gari gani alikupaitakuwa wazi Sonyo huyo ndiyo tabia zake.:A S 465:
Waziri, yule kijana wa mtaani kwenu au. Kama ni waziri kweli mchune tuu halafu sepa, huwa watu kama hawa wasiojiheshimu inabidi tu uwatolee uvivu.
Ulini call au, uwe una try try unaweza kunipata.The number u'r dialling is not available at present.. PLEASE TRY AGAIN LATER!!
Fixed point hapo point umezifixed sawa kabisa, yani hawezi kukosoa hata point moja hapo.hivi kuna la ajabu mwanamke kutongozwa? hayo si ni maisha ya kila siku?
sasa kama kila siku ukitongozwa unakuja kumwaga hapa si thread zote hapa MMU zingekuwa za kutongozwa? au sababu mtongozaji ni waziri? kwani yeye si mwanaume kama wengine? after all leo waziri, kesho na kadhalika, what is a big deal? huu ni ulimbukeni
Utani pembeni hata mimi nadhani ndo vile, tena ndoto ya mchana bada ya kupiga ugali wa sembe na nshenene za mawese.Ameota katongozwa na waziri na kuhongwa gari!