Unataka watu wafurahie upuuzi....nani kamuhukumu?
Yaani ufanye ujinga watu wakuchekee tu....hivi unajua kuwa huyu amekabidhiwa dhamana ya afya ya watanzania.
Unajua ni watu wangapi wamepoteza maisha sababu ya upuuzi ule ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.