Waziri anakwenda na wakati, makofi na vigelegele kwake

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,268
1620456625317.png
 
jaribu kufikiria kama ingekuwa niwewe! tusiwe wepesi kuhukumu.
Unataka watu wafurahie upuuzi....nani kamuhukumu?
Yaani ufanye ujinga watu wakuchekee tu....hivi unajua kuwa huyu amekabidhiwa dhamana ya afya ya watanzania.
Unajua ni watu wangapi wamepoteza maisha sababu ya upuuzi ule ...
 
Back
Top Bottom