johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,431
Waziri wa biashara wa Zanzibar mh Amina amesema biashara kati ya Zanzibar na Tanzania bara imedorora.
Amina amesema hayo wakati akiwakilisha bajeti ya wizara yake katika baraza la wawakilishi jijini Zanzibar.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Amina amesema hayo wakati akiwakilisha bajeti ya wizara yake katika baraza la wawakilishi jijini Zanzibar.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!