Waziri aliyesema Lissu kaanza uzembe nadhani Wiraza yaje ndio ina uzembe mara 10

Ligaba

JF-Expert Member
Oct 12, 2018
1,045
2,821
Bado Tundu Lissu anaendelea kutaja kuliko mtu yeyote kwa sasa katika siasa za Tanzania.

Jana niliona majibu ya Waziri Kangi Lugola kuhusiana na ushambuliwaji wa Lissu, nilichogundua kuna uzembe wa hali kutoka katika Jeshi la Polisi na hata Wizara yote yenye mamlaka ya kushughulika na sakata hilo kwa namna ifuatayo.

1. Ukiwa Mtuhumiwa siku zote ni uzembe wa hali juu kwenda hadharani kulalamika na kusema wewe sie hali ya kuwa kuna njia ifaayo kukufanya usionekane mtuhumiwa. Nafikiri Tundu Lissu anaishutumu serikali ndio wapangajj wa jaribio la kumuua, waziri ni Serikali. Serikali kupitia kwa waziri wakipanga kujinasua au kama wasemavyo wanajengewa chuki, wana jambo moja tu la kufanya. WAITE JOPO HURU LA WACHUNGUZI WA KIMATAIFA. Hii itasaidia sana maana nionavyo kwa namna yoyote iwe imehusika au aikuhusika hakuna atakae waamini kwa taarifa yoyote na na itolewe na mtu yeyote.

2. Uzembe mkubwa wa pili ni pale waziri anapomtaka Lissu aje ataje kwamba waliomshambulia ni watu wa muonekano gani, majike, madume, meupe au meusi, mafupi au malefu, hii ni aibu kubwa kwa kiongozi mwenye wadhfa wa kiwango cha waziri kutamka. Jiulize hivi ailiporudishwa Roma, aliporudishwa Mo ndio kusema hawa nao hawakutoa taarifa au nao wako nje ya nchi kiasi cha serikali kushindwa kutaja au kukamata hata muhusika mmoja? Kwa nini tusiamini wizara ya Kangi Lugola ni zembe mara kumi ya Lissu?

Nawakumbusha tu serikali pale ambako ina ufanisi nzuri ni wakati waliouwawa ni watu wao, Rejea kifo cha kamanda wa Polisi mwanza -watuhumiwa walikamatwa ndani ya wiki moja, Rejea majambazi waliouwa polisi stakishari, Mbande na kwengineko wote walipatikana.

Ningemsihi waziri Lugola na serikali yake, njia pekee ya kuisafisha serikali na Rais wake ni kuita timu huru ya wachunguzi wa kimataifa, matokeo ya timu hiyo inaweza kuisaidia hata serikali kumshtaki Lissu na shutuma zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado Tundu Lissu anaendelea kutaja kuliko mtu yeyote kwa sasa katika siasa za Tanzania.

Jana niliona majibu ya Waziri Kangi Lugola kuhusiana na ushambuliwaji wa Lissu, nilichogundua kuna uzembe wa hali kutoka katika Jeshi la Polisi na hata Wizara yote yenye mamlaka ya kushughulika na sakata hilo kwa namna ifuatayo.

1. Ukiwa Mtuhumiwa siku zote ni uzembe wa hali juu kwenda hadharani kulalamika na kusema wewe sie hali ya kuwa kuna njia ifaayo kukufanya usionekane mtuhumiwa. Nafikiri Tundu Lissu anaishutumu serikali ndio wapangajj wa jaribio la kumuua, waziri ni Serikali. Serikali kupitia kwa waziri wakipanga kujinasua au kama wasemavyo wanajengewa chuki, wana jambo moja tu la kufanya. WAITE JOPO HURU LA WACHUNGUZI WA KIMATAIFA. Hii itasaidia sana maana nionavyo kwa namna yoyote iwe imehusika au aikuhusika hakuna atakae waamini kwa taarifa yoyote na na itolewe na mtu yeyote.

2. Uzembe mkubwa wa pili ni pale waziri anapomtaka Lissu aje ataje kwamba waliomshambulia ni watu wa muonekano gani, majike, madume, meupe au meusi, mafupi au malefu, hii ni aibu kubwa kwa kiongozi mwenye wadhfa wa kiwango cha waziri kutamka. Jiulize hivi ailiporudishwa Roma, aliporudishwa Mo ndio kusema hawa nao hawakutoa taarifa au nao wako nje ya nchi kiasi cha serikali kushindwa kutaja au kukamata hata muhusika mmoja? Kwa nini tusiamini wizara ya Kangi Lugola ni zembe mara kumi ya Lissu?

Nawakumbusha tu serikali pale ambako ina ufanisi nzuri ni wakati waliouwawa ni watu wao, Rejea kifo cha kamanda wa Polisi mwanza -watuhumiwa walikamatwa ndani ya wiki moja, Rejea majambazi waliouwa polisi stakishari, Mbande na kwengin

eko wote walipatikana.

Ningemsihi waziri Lugola na serikali yake, njia pekee ya kuisafisha serikali na Rais wake ni kuita timu huru ya wachunguzi wa kimataifa, matokeo ya timu hiyo inaweza kuisaidia hata serikali kumshtaki Lissu na shutuma zake.

Sent using Jamii Forums mobile app


"Ningemsihi waziri Lugola na serikali yake, njia pekee ya kuisafisha serikali na Rais wake ni kuita timu huru ya wachunguzi wa kimataifa, matokeo ya timu hiyo inaweza kuisaidia hata serikali kumshtaki Lissu na shutuma zake."
 
Bado Tundu Lissu anaendelea kutaja kuliko mtu yeyote kwa sasa katika siasa za Tanzania.

Jana niliona majibu ya Waziri Kangi Lugola kuhusiana na ushambuliwaji wa Lissu, nilichogundua kuna uzembe wa hali kutoka katika Jeshi la Polisi na hata Wizara yote yenye mamlaka ya kushughulika na sakata hilo kwa namna ifuatayo.

1. Ukiwa Mtuhumiwa siku zote ni uzembe wa hali juu kwenda hadharani kulalamika na kusema wewe sie hali ya kuwa kuna njia ifaayo kukufanya usionekane mtuhumiwa. Nafikiri Tundu Lissu anaishutumu serikali ndio wapangajj wa jaribio la kumuua, waziri ni Serikali. Serikali kupitia kwa waziri wakipanga kujinasua au kama wasemavyo wanajengewa chuki, wana jambo moja tu la kufanya. WAITE JOPO HURU LA WACHUNGUZI WA KIMATAIFA. Hii itasaidia sana maana nionavyo kwa namna yoyote iwe imehusika au aikuhusika hakuna atakae waamini kwa taarifa yoyote na na itolewe na mtu yeyote.

2. Uzembe mkubwa wa pili ni pale waziri anapomtaka Lissu aje ataje kwamba waliomshambulia ni watu wa muonekano gani, majike, madume, meupe au meusi, mafupi au malefu, hii ni aibu kubwa kwa kiongozi mwenye wadhfa wa kiwango cha waziri kutamka. Jiulize hivi ailiporudishwa Roma, aliporudishwa Mo ndio kusema hawa nao hawakutoa taarifa au nao wako nje ya nchi kiasi cha serikali kushindwa kutaja au kukamata hata muhusika mmoja? Kwa nini tusiamini wizara ya Kangi Lugola ni zembe mara kumi ya Lissu?

Nawakumbusha tu serikali pale ambako ina ufanisi nzuri ni wakati waliouwawa ni watu wao, Rejea kifo cha kamanda wa Polisi mwanza -watuhumiwa walikamatwa ndani ya wiki moja, Rejea majambazi waliouwa polisi stakishari, Mbande na kwengineko wote walipatikana.

Ningemsihi waziri Lugola na serikali yake, njia pekee ya kuisafisha serikali na Rais wake ni kuita timu huru ya wachunguzi wa kimataifa, matokeo ya timu hiyo inaweza kuisaidia hata serikali kumshtaki Lissu na shutuma zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ulilosema nilitegemea mtu yeyote hata mwanachama wa CCM aliseme kwasababu ni common sense! Lakini ni kinyume chake!
 
Mkuu, asante kwa maoni yako. Unaonekana unajua sheria kama alivyo mhusika mwenyewe. Hata hivyo ni vema mkumbuke, kwa hili tukio, Mhusika na Dereva wake ni ndio Mashahidi Na.1 kwa upande wa Jamhuri. Je! Mnauhakika Jamhuri haijafanya Uchunguzi/Upelelezi wa kutosha juu ya Tukio hili kwa ajili ya kulifikisha Mahakamani? Kwanini Mashahidi Na.1 hawataki kutoa ushirikiano kwa Jamhuri? Kwanini Agenda ya Wachunguzi kutoka nje isingefuata kama Rufaa baada ya Ushahidi wa Shauri hili uliofikishwa na Upande wa Mashtaka (Serikali) katika Mahakama kukosa Uzito unaostahili?

Wahenga walisema; "JAMBO USILOLIJUA NI USIKU WA GIZA"

Ni mtazamo wangu tu, na mie napita tu japo nawaza kwa maandishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko kumtajataja kwenu Mjue mnamsababishia Achelewe kupona ...! Bado ni mgonjwa jama ivi nyie hamuelewi..?
 
Back
Top Bottom