DR.Theresa Hovisa, huyo kigogo ni marehemu ali malima
Ni kweli mkuu, waziri mzima hajui maana ya fataki kwani jamaa angemfataki ina maana angemtekeleza....Ukiisoma ile piece utagundua hakuchakachuliwa. Aliamua ku-force mfano, of which i find disturbing. ...Sidhani kama anafahamu maana halisi ya fataki.
Ni kweli mkuu, waziri mzima hajui maana ya fataki kwani jamaa angemfataki ina maana angemtekeleza.
Na yule aliyetafsili maana yafisadi ni mtu anayechukua wake za watu...Ukiisoma ile piece utagundua hakuchakachuliwa. Aliamua ku-force mfano, of which i find disturbing.
...Sidhani kama anafahamu maana halisi ya fataki.
...ukiisoma ile piece utagundua hakuchakachuliwa. Aliamua ku-force mfano, of which i find disturbing.
...sidhani kama anafahamu maana halisi ya fataki.
DR.Theresa Hovisa, huyo kigogo ni marehemu ali malima
Malima au Lawrence Gama?